kweli?Majibu No.1, 5 na 9 si mabaya sana, 50-50 ila yalobaki yoote ni kweli.
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
Hiyo haitamzuia kwani inavulika, kumpiga mimba mdo mwisho wa viherehere vyao
Kuna buzi mmoja mlugaluga wa uraiani alifika maeneo ya chuo akampigia demu wake mwanachuo simu, akaambiwa yupo discussion. Jamaa akaja kwangu akaniuliza, "Eti Discussion ndio wapi hapa chuo?" akidhani kwamba kuna eneo pale chuo linaitwa 'Discussion' !!!
... Pete ya Uchumba feki, ....... Ushauri mwingine ni sawa na nguvu za giza............. utavalisha wangapi???Pole mkuu.Hivi vibinti vya chuo vinamatatizo sana.Dawa yao kivalishe pete ya Uchumba fake then utakula tambalaleee.
kha , afu mwisho wa siku unamuachia maumivu mwenzako ukute amekupenda kweli.
na ushahidi wa mvua matope
1. Baby tutaongea baadae naingia lecture
2.Jamani honey sikuweza kupokea simu nilikuwa kwenye kelele
3.Sweetie sina credit nikashindwa kukujibu
4.Tupo discussion jamani ntakupigia bdae
5.Simu haikuwa na chaji jamani (HAPO AMEKUZIMIA SIMU)
6.Nipo na kaka jamani usipige simu
7. Nina presentation kesho hny hatuwezi kuonana
8. Roommate wangu ana mgeni USIJE leo
9. Nipo library dia ntakutafuta baadaye(kwa sauti ya chini)
SHTUKA MAPEMA HUNA CHAKO PALE, KAMA UNA KWINGINE JIONGEZE USISUBIRI AKWAMBIE KUWA HAKUTAKI!!!!!!!!!
Mkuu umeifanya siku yangu leo iende mzuri!!! Mi'nimwanachuo. Nafahamu asilimia zaidi ya 90 ya mademu wa chuo hawapo kwa ajili ya kuolewa. Wana MAPENZI zaidi ya Uongo. Naomba nisiongee sana. Nilitaka kuoa mwanachuo. Nilivyotendwa sina hamu tena!!!!!
Alafu unamkimbiaeee.........Wanaume kama nyie ndo chanzo cha watoto wa mitaani