Ukistaajabu ya uhamiaji utaona ya NSSF

Ukistaajabu ya uhamiaji utaona ya NSSF

PANTA

Member
Joined
Feb 4, 2012
Posts
47
Reaction score
5
Kweli Tz ajira ni janga kwa graduate, hili linaendelea kujirihidhisha hata katika interview ya leo ya NSSF gundua watu waliojitokeza kufanya interview ni zaidi ya 5,000. du ni shidaaaah kwa kweli!
 
me nilirudi mapema maana kuna mzee mmoja alisema ajira zina watu ,ikumbukwe kwamba hata kabla uhamiaji hawajaita nillisema jf hapa kwamba ajira zina watu,zile ajira za udom nazo ilikuwa hivyoo hivyo hr alipigiwa sm kutoka ofisi nyeti akapewa list ya majina hr alisononeka sana maana naye alikuwa na ndigu zake,nilishawai kusema hapa jf bila mil 1au 2 t.r.a kupata kazi ndoto.
 
me nilirudi mapema maana kuna mzee mmoja alisema ajira zina watu ,ikumbukwe kwamba hata kabla uhamiaji hawajaita nillisema jf hapa kwamba ajira zina watu,zile ajira za udom nazo ilikuwa hivyoo hivyo hr alipigiwa sm kutoka ofisi nyeti akapewa list ya majina hr alisononeka sana maana naye alikuwa na ndigu zake,nilishawai kusema hapa jf bila mil 1au 2 t.r.a kupata kazi ndoto.

Tuelekeze tukampe nani hizo 1M au 2M,Pesa sio tatzo!!!
 
Hata napo pale TANZANIA TOURIST BOARD (TTB) kulikuwa na full nyomi ya watu sijui matokeo ya ile aptitude test yatakuwaje na yatatoka lini?
 
Mkiitwa shida, msipoitwa Shida.
Mnatakaje sasa?
Kama wote mna sifa zinazotakiwa wawapunguze vipi?
 
Kweli Tz ajira ni janga kwa graduate, hili linaendelea kujirihidhisha hata katika interview ya leo ya NSSF gundua watu waliojitokeza kufanya interview ni zaidi ya 5,000. du ni shidaaaah kwa kweli!

Unadhan wale wote hawana kazi? Watu na kaz zao ww vp?
 
Tukubali au tusikubali kuna mchezo wa siasa unachezwa kwenye hizi ajira. Inakuwaje mnaita watu elfu tano kwenye interview hata kama kuna nafasi 100? Kwa nini hawafanyi shortlisting na kuita watu kulingana na nafasi zilizopo? Ili kuwadanganya watu kwamba haki inatendeka, wanaita watu wote walioomba kazi kuja kwenye interview wakati wakijua kwamba tayari hizo nafasi wamewapa watu Fulani.

Huku nikusumbua watu, kuharibu resourcs na kupoteza muda wa watu.

Tiba
 
Back
Top Bottom