The Planner
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 357
- 118
Nilikuwa nasoma thread inayomhusu Sophia Simba na vioja vyake ktk C10, hapohapo nikakumbuka Statements za naibu waziri wa kilimo akiongea na waandishi wa habari kwamba serikali haiwezi kudhibiti mfumuko wa bei za vyakula., Napata shida kujua hawa watu wanafanya nn? kama unakili huwezi kufanya mabadiliko si unajiachia wanaoweza wachukue nafasi,.inakera kusikia utumbo kila siku