Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 716
- 1,624
Mimi nikisikia kuhusu village people, kinachokuja kichwani ni wachawi na watu wasiopenda maendeleo yako. Yaani wakiona umepiga hatua tu, hao wanakuja kukurudisha nyuma. Utasikia huyu naye..... hapo ujue umekwishaaa!
Wengine hata wanaogopa kurudi makwao sababu ya hawa village people, akiweza kuchomoka tu na kwenda mjini ndio imetoka hiyo. Atarudi kijijini kuzika, siku ya pili huyoooo kachomoka!
Ni mambo gani mengine village people wanahusishwa nayo?
Wengine hata wanaogopa kurudi makwao sababu ya hawa village people, akiweza kuchomoka tu na kwenda mjini ndio imetoka hiyo. Atarudi kijijini kuzika, siku ya pili huyoooo kachomoka!
Ni mambo gani mengine village people wanahusishwa nayo?