Ukisikia Lori la mafuta limepinduka

Ukisikia Lori la mafuta limepinduka

Emma M Bai

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
223
Reaction score
126
Ukiona Lori la mafuta limedondoka karibu yako unapata taswira gani
 
Nanyonya mafuta kwa kuzingatia yafuatayo.

1: nahakikisha nachota mafuta bila kumwagamwaga ovyo.
2: Nahakikisha hakuna chacho chochote cha moyo ama shughuri yoyote inayowezeshwa na moto karibu na tunapochotea wese.

3: Nahakikisha betri haiguswi na kiumbe yeyote kwenye uchotaji. Yaani bora nifungwe kifungo cha maisha kwa kumuua mtu aliyesogelea betri kwenye uchotaji wa wese.

4: Kuhakikisha tunafanya faster kabla police hawajaja maana wanaweza kutusambaratisha kwa mabomu wakatj lile gari ni nuklia tayari
 
we akili yako sikuwez
Nanyonya mafuta kwa kuzingatia yafuatayo.
1: nahakikisha nachota mafuta bila kumwagamwaga ovyo.
2: Nahakikisha hakuna chacho chochote cha moyo ama shughuri yoyote inayowezeshwa na moto karibu na tunapochotea wese.
3: Nahakikisha betri haiguswi na kiumbe yeyote kwenye uchotaji. Yaani bora nifungwe kifungo cha maisha kwa kumuua mtu aliyesogelea betri kwenye uchotaji wa wese.
4: Kuhakikisha tunafanya faster kabla police hawajaja maana wanaweza kutusambaratisha kwa mabomu wakatj lile gari ni nuklia tayari
 
Nanyonya mafuta kwa kuzingatia yafuatayo.

1: nahakikisha nachota mafuta bila kumwagamwaga ovyo.
2: Nahakikisha hakuna chacho chochote cha moyo ama shughuri yoyote inayowezeshwa na moto karibu na tunapochotea wese.

3: Nahakikisha betri haiguswi na kiumbe yeyote kwenye uchotaji. Yaani bora nifungwe kifungo cha maisha kwa kumuua mtu aliyesogelea betri kwenye uchotaji wa wese.

4: Kuhakikisha tunafanya faster kabla police hawajaja maana wanaweza kutusambaratisha kwa mabomu wakatj lile gari ni nuklia tayari
 
daaaah yaani wengine wamefariki lakini kuna watu wamepata mbinu mbadala
 
Siwezi enda kwenye tukio bila fayaeksitingisha
 
Nanyonya mafuta kwa kuzingatia yafuatayo.

1: nahakikisha nachota mafuta bila kumwagamwaga ovyo.
2: Nahakikisha hakuna chacho chochote cha moyo ama shughuri yoyote inayowezeshwa na moto karibu na tunapochotea wese.

3: Nahakikisha betri haiguswi na kiumbe yeyote kwenye uchotaji. Yaani bora nifungwe kifungo cha maisha kwa kumuua mtu aliyesogelea betri kwenye uchotaji wa wese.

4: Kuhakikisha tunafanya faster kabla police hawajaja maana wanaweza kutusambaratisha kwa mabomu wakatj lile gari ni nuklia tayari
hii 4 nimecheka sana.
 
Back
Top Bottom