johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,377
- 138,536
Siyo kwamba nawabeza Chadema bali nawakubali kwa namna wanavyothubutu kupigania haki zao.
Fikiria kesi ya Ole sabaya Jamhuri ina zaidi ya mashahidi 20 lakini wamefikia shahidi wa 7 jamaa katangaza anaumwa na leo ni siku ya pili mfululizo eti kesi inaahirishwa hadi apone.
Peter Kibatala asingekubaliana na hizi figisu kabisa lazima shahidi wa 8 angepanda kizimbani.
Mungu ni mwema wakati wote!
Fikiria kesi ya Ole sabaya Jamhuri ina zaidi ya mashahidi 20 lakini wamefikia shahidi wa 7 jamaa katangaza anaumwa na leo ni siku ya pili mfululizo eti kesi inaahirishwa hadi apone.
Peter Kibatala asingekubaliana na hizi figisu kabisa lazima shahidi wa 8 angepanda kizimbani.
Mungu ni mwema wakati wote!