Ukipata free internet..utatumiaje?

Mwanzoni hua kuna lile wenge la kupata free internet but with time hua linaosha unabqki kuiona kama kutu cha kawaida tu.
Nilipofunga wi-fi kwangu, kulikua na the same situation, watu hawafamyi kazi, kila mmoja kwenye simu n.k, but within a week, woooi, wanafanya kazi zao kama kawaida na hawana haraka nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ