Makame
JF-Expert Member
- Jan 3, 2008
- 512
- 60
Taifa linajiandaa kusheherekea miaka 50 ya uhuru, kilele chake ni tarehe 09/12/2011. Mimi binafsi kwa haraka naona mafanikio mawili tu
1. Kiswahili kuwa lugha ya kutuunganisha.
2. Muungano [Ambao wenyewe; kuna wasioutakia kheri].
Mengine kusema ukweli imekuwa ni mtihani. Mfano
1. TAZARA - Ni mafanikio, lakini imefisidiwa. Wachina wakituona tunavyohangaika na wametuwekea reli ya kiwango cha juu, wamepasua milima; wanasikitika mno. Ndio maana wanajenga Angola kwa kasi kubwa.
2. Reli ya Kati na Kaskazini, tumeua.
3. Elimu - Mtihani, mtu anamaliza chuo hawezi andika sentensi, wachilia mbali barua. Tumeshindwa kusomesha proportion ya watu wetu ukilinganisha na Nchi zilizokuwa katika mfululizo wa misukosuko.
4. Azimio la Arusha - Failed. (Including nationalization)
5. Denationalization - faile - ATC, TRL you name it!
6. Kila kitu kina fail, mpaka multi party ina fail -----wana CDM kila wakizidiwa; wanatoka Ukumbini.
Huyo mchawi aliyeiroga nchi hii atakuwa marehemu, amekufa bila ya kuondoa aliyotujaribia.
Wana Forum; hayo ni mawazo yangu; sijui ya kwenu.
Pengine mafanikio makubwa yapo; lakini sijayajua. Munielimishe.
1. Kiswahili kuwa lugha ya kutuunganisha.
2. Muungano [Ambao wenyewe; kuna wasioutakia kheri].
Mengine kusema ukweli imekuwa ni mtihani. Mfano
1. TAZARA - Ni mafanikio, lakini imefisidiwa. Wachina wakituona tunavyohangaika na wametuwekea reli ya kiwango cha juu, wamepasua milima; wanasikitika mno. Ndio maana wanajenga Angola kwa kasi kubwa.
2. Reli ya Kati na Kaskazini, tumeua.
3. Elimu - Mtihani, mtu anamaliza chuo hawezi andika sentensi, wachilia mbali barua. Tumeshindwa kusomesha proportion ya watu wetu ukilinganisha na Nchi zilizokuwa katika mfululizo wa misukosuko.
4. Azimio la Arusha - Failed. (Including nationalization)
5. Denationalization - faile - ATC, TRL you name it!
6. Kila kitu kina fail, mpaka multi party ina fail -----wana CDM kila wakizidiwa; wanatoka Ukumbini.
Huyo mchawi aliyeiroga nchi hii atakuwa marehemu, amekufa bila ya kuondoa aliyotujaribia.
Wana Forum; hayo ni mawazo yangu; sijui ya kwenu.
Pengine mafanikio makubwa yapo; lakini sijayajua. Munielimishe.