Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
1.Kitu cha kwanza anza kubadili mwonekano wako anza kuvaaa vizuli uanze kupendeza
2.kitu cha pili anza kufanya vitu vya kimaendeleo
3.kitu cha tatu tafuta pesa hakikisha you work hard kutafuta pesa
4.kitu cha nne kama ulikuwa huna shughuli maalumu ya kufanya basi tafuta cha kufanya kama ni kazi au biashara
5.kitu cha tano jifunze kubalance shobo sio kila saa siku wewe tuu uanze kuanzisha salamu au kumchatisha
6.kitu cha Sita kuwa bize na mambo yako itakusaidia
Ukifuata hizi hatua hizi hakika utaishinda na mambo yatakaa sawa tuu .....:
Note tunawakumbusha vijana ukiona dalili za kuachwa achana na vile vitabia vya kuomba omba msamaha
2.kitu cha pili anza kufanya vitu vya kimaendeleo
3.kitu cha tatu tafuta pesa hakikisha you work hard kutafuta pesa
4.kitu cha nne kama ulikuwa huna shughuli maalumu ya kufanya basi tafuta cha kufanya kama ni kazi au biashara
5.kitu cha tano jifunze kubalance shobo sio kila saa siku wewe tuu uanze kuanzisha salamu au kumchatisha
6.kitu cha Sita kuwa bize na mambo yako itakusaidia
Ukifuata hizi hatua hizi hakika utaishinda na mambo yatakaa sawa tuu .....:
Note tunawakumbusha vijana ukiona dalili za kuachwa achana na vile vitabia vya kuomba omba msamaha