Duuuh....
Yaani UONGO leo umekuwa ni kitu kizuri eti kwa Sababu ya changamoto za maisha?!!!🤣🤣🤣
Uongo una athari hasi ndani ya FAMILIA
Uongo una athari hasi kwa UTU WA MWANADAMU
Uongo una athari hasi Katika URAFIKI
Uongo una athari hasi NDOANI
Uongo una athari hasi MASHULENI
Uongo una athari hasi MAKAZINI
Uongo una athari hasi BIASHARANI
Uongo una athari hasi MABARABARANI
Uongo una athari hasi MAHOSPITALINI
Uongo una athari hasi kwa MAJIRANI
Uongo una athari hasi ndani ya NYUMBA ZA IBADA.
Hao wasiotaka kumsaidia kijana na ndugu yao ilihali wana UWEZO nao wanaongozwa na KUTOJIAMINI,KUTOPENDANA KIUKWELI,UMIMI CHOYO HUSUDA,WIVU na hata kujawa na UONGO MAISHANI MWAO....
Mkuu sawa kwa KUUCHAGUA UONGO ili UTOBOE ila kufanikiwa kwako hakutaondoa kuwa UONGO ni janga kwa MWANADAMU...na umejaa kwetu WAAFRIKA....