klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
basi swiithati usiondoke, nimechenji maindi simgongei tena.Hii thread imeniboa kwaherini.
basi swiithati usiondoke, nimechenji maindi simgongei tena.Hii thread imeniboa kwaherini.
Chapa mwendo huko...huna lolote!Ina maana kama mama yako na dada zako hawaku/hawatakutwa nazo nao ni Malaya ehh?Karibu Lizzy. Pole tunakuboa. lakini hii ndio team ya leo. kaza buti.
I second that!Yani mwenyewe nilipita kimya maana niliona nikiongea ntajikuta nimeropoka bure!!Sijui kafikiria nini!
Chapa mwendo huko...huna lolote!Ina maana kama mama yako na dada zako hawaku/hawatakutwa nazo nao ni Malaya ehh?
where are those dayz wakati mume anakabidhiwa mrembo kitandani kwenye shuka jeupe chini ya uangalizi wa shangazi kabla ya kuolewa?
basi swiithati usiondoke, nimechenji maindi simgongei tena.
.Mimi mwenyewe paliniboa nikajita tu nimeandika lakini hapa sio dear Lizzy wangu hebu twende kwenye mada za msingi hapa ni choo cha stendi mpya ya msamvu morooooo
Sikutegemea kama hata wewe utashabikia haya! Au ndo tayari unaenda kutafuta bikra?? Ukaanzie wodini kwa watotot wachanga then nursery school ndo utafanikiwa ukiingia tu darasa la kwanza umeliwa!!!!
Naona kakwepa swali langu..hapo ndo ujue kakurupuka kama kibaka!Wao pia ni wanawake Lizzy,jibu ni ndiyo....hakuna double standards wala jibu la tofauti na hilo!
You know who to ask Hashy,certainly not us! many of us were born when nothing like that exist................lol:car::car:
Nilidhani tupo pamoja!!. sasa tunakabana tena??. Poa ngoja nibadilishe winger mmoja akukabe vizuri..
mskonde kabisa yaani, mimi nanyutralaizi ili sredi liweze kufikia muafaka. najaribu kuekti kama waziri asiekuwa na wizara maalum. ok tuendeleeni kuijadili bikira.Sikutegemea kama hata wewe utashabikia haya! Au ndo tayari unaenda kutafuta bikra?? Ukaanzie wodini kwa watotot wachanga then nursery school ndo utafanikiwa ukiingia tu darasa la kwanza umeliwa!!!!
Kama ni hivyo si tuache kuonjesha. kwanini tunakasikrika???.
Twende zetu mwaya!Mimi mwenyewe paliniboa nikajita tu nimeandika lakini hapa sio dear Lizzy wangu hebu twende kwenye mada za msingi hapa ni choo cha stendi mpya ya msamvu morooooo
hakuna ekskyuz, suala la msingi inabidi wajibu bikira wanazipeleka wapi siku hizi? mbona mabibi zetu walikuwa nazo halaf walikuwa wakitongozwa wanaangalia chini lakini sku hizi unatongoza mdada anakutolea mimacho kama kingwendu. dah! imekula kwetu walahi.should i take this as an xcuse?
should i take this as an xcuse?
An excuse for not bn virgin????why the hell would i give an excuse?,do me this favour,i think you have sisters and lots of women you know,you can ask them if they give any excuse for not bn virgin???? We have the responsibility to decide what we do with our bodies,no one can decide for us,not even our husbands!:car::car:
hakuna ekskyuz, suala la msingi inabidi wajibu bikira wanazipeleka wapi siku hizi? mbona mabibi zetu walikuwa nazo halaf walikuwa wakitongozwa wanaangalia chini lakini sku hizi unatongoza mdada anakutolea mimacho kama kingwendu. dah! imekula kwetu walahi.