Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,045
- 103,460
Wao hujitetea kwa misingi ya kisheria kwani nchi hii ni ya utawala wa sheria.
Kwa mjibu wa sheria ya kazi Na. 6/2004 na kanuni zake za mwaka 2007 zinawataka kutumia TRADE UNION kama mwakilishi. Na tayari TUCTA, na CWT kama TRADE UNION wamesha wasilisha hoja zao serikalini.
Je mleta maada yeye kafanya lipi tofauti na kuleta hapa JF ambapo sio mahara sahihi pa kutatua kero za watu??.
Hizo trade unions zao ndio zinazotumika na watawala kuwakandamiza. Hizo hoja zao zitagonga mwamba wakienda serekalini, na hata wakienda mahakamani, kwani watawala wa kiafrika hawaogopi mahakama bali huogopa nguvu ya umma tu.