Ukimya wa watumishi wa umma juu ya kikotoo kipya, ni upole wao au kutojielewa?

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Nov 29, 2018
10,526
13,014
Hawa watu wanashangaza sana, wapo kimya kama hakuna kilichotokea tena wakiendeshwa kwa mikwara ya hali ya juu.

Wengine wamepewa vipande wapande magari ya wenzao bure kisa anawajali? Mbona sio mishahara aliyopandisha? Mmeambiwa haipandii mpaka uzalishaji uongezeke, sijui mwalimu anazalisha nini.

Kutokana na ukimya wenu wamewaletea sheria mpya ya kikotoo cha fao la kustaafu toka 50% mpaka 25% tu na hii ni baada ya manyanyaso kedekede huko nyuma kutoka kwa watawala hawa wenye roho mbaya na viburi utadhani walijichagua.

Najiuliza ukimya huu wa watumishi ni kutojua madhara ya sheria hii amma nì uoga wa kuishi bila vibarua? Awamu zote tumeona watumishi wakienziwa na waligoma.

Mkapa ndiye aliyeinua maslahi ya watumishi hata wakaanza kukopa benki. Kikwete yeye aliongeza maradufu. Lakini huyu anawatukàna hadharani na kutunga sheria mbovu na mpo tu.

Wale wa Kenya juzi walitishia kugoma kisa kuhamishwa nyie mnapelekeshwa tu. Hamna nyongeza, hamna marupurupu, nauli za likizo unadai milioni 1 mtu anakulipa kalaki.

Enyi watumishi amkeni sasa, semeni basi! Ukimya wenu huo mtakuja chapwa bakora mcheke kwa kale kawimbo ka hapa kazi tu
 
Je wewe umefanya jambo/jitihada gani kuwasadia? Hata kama wewe sio mtumishi. Mathalani Nelson Mandela alipigana na kufungwa miaka 27 kwa ajili ya wana_Africa kusini wote sio kwa manufaa yake pekee. Je wewe huwezi kujitoa kuwatetea watumishi kama tayari ushaona wanaonewa?

"Ukombozi unaweza ukaletwa na mtu wa ndani ama wa nje" ndo watu kama akina MARCUS GARVEY walifanya hivyo kipindi cha kuonewa kwa watu weusi America (kipindi kile ikiitwa New world)
 
Wengi ni wajinga
Katika mfumo wa "CAPITALISM" utawaonea kuwaita "wajinga" hata wewe hapo ulipo sidhani kama haki zako zote unazipata ktk jamii ama kazi inayokuzunguka.

Fikiria pia kwa nini madai ya wafanyakazi na vibarua kipindi cha kuingia kwa technolojia ya mashine huko Ulaya maarufu kama LUDDISM MOVEMENT (yaan mgomo wa kupinga mashine) walishindwa? (Same factors)
 
Hawa watu wanashangaza sana.wapo kimya kama hakuna kilichotokea tena wakiendeshwa kwa mikwara ya hali ya juu. wengine wamepewa vipande wapande magar ya wenzap bure kisa anawajali? mbona sio mishahara aliyopandisha.. mmeambiwa haipandii mpaka uzalishaji uongezeke ! sijui mwalimu anazalisha nn?
kutokana na ukimya wenu wamewaletea sheria mpya ya kikotoo cha fao la kustaafu toka 50% mpaka 25% tu. na hii ni baada ya manyanyaso kedekede huko nyuma kutoka kwa watawala hawa wenye roho mbaya na viburi utadhan walijichagua?
Najiuliza ukimya huu wa watumishi ni kutojua madhara ya sheria hii amma nì uoga wa kuishi bila vibaru? awamu zote tumeona watumishi wakienziwa na waligoma? mkapa ndiye aliyeinua maslahi ya watumishi hata wakaanza kukopa bank nk. Jk yye aliongeza maradufu. huyu anawatukàna hadharan na kutunga sheria mboooovu na mpo tu. nwale wa kenya juzi walitishia kugoma kisa kuhamishwa nyie mnapelekeshwa tuu.hamna nyongeza, hamna marupurupu, nauli za likizo unadi ml1mtu anakulipa kalaki kisha anajiuu
Enyi watumishi amkeni sasa! semeni basi. ukimya wenu huo mtakuja chapwa bakora hku mcheke kwa kale kawimbo ka hapa kazi tu
Watumishi hawawezi kuongea maana mkuu wao haoni ugumu kuwapiga chini akaajiri wengine afu wakasubiri mafao yao nyumbani, so ugali wanaulinda, kila mtu anapenda ugali wa serikali sio kila mtu anaweza kupanga akili yake akajiajiri
 
Hawa watu wanashangaza sana.wapo kimya kama hakuna kilichotokea tena wakiendeshwa kwa mikwara ya hali ya juu. wengine wamepewa vipande wapande magar ya wenzap bure kisa anawajali? mbona sio mishahara aliyopandisha.. mmeambiwa haipandii mpaka uzalishaji uongezeke ! sijui mwalimu anazalisha nn?
kutokana na ukimya wenu wamewaletea sheria mpya ya kikotoo cha fao la kustaafu toka 50% mpaka 25% tu. na hii ni baada ya manyanyaso kedekede huko nyuma kutoka kwa watawala hawa wenye roho mbaya na viburi utadhan walijichagua?
Najiuliza ukimya huu wa watumishi ni kutojua madhara ya sheria hii amma nì uoga wa kuishi bila vibaru? awamu zote tumeona watumishi wakienziwa na waligoma? mkapa ndiye aliyeinua maslahi ya watumishi hata wakaanza kukopa bank nk. Jk yye aliongeza maradufu. huyu anawatukàna hadharan na kutunga sheria mboooovu na mpo tu. nwale wa kenya juzi walitishia kugoma kisa kuhamishwa nyie mnapelekeshwa tuu.hamna nyongeza, hamna marupurupu, nauli za likizo unadi ml1mtu anakulipa kalaki kisha anajiuu
Enyi watumishi amkeni sasa! semeni basi. ukimya wenu huo mtakuja chapwa bakora hku mcheke kwa kale kawimbo ka hapa kazi tu
Hawana lao ngoja Serikali iwachakaze walifikia miaka 60 ndio watapata akili ccm oyeeee
 
Je wewe umefanya jambo/jitihada gani kuwasadia? Hata kama wewe sio mtumishi. Mathalani Nelson Mandela alipigana na kufungwa miaka 27 kwa ajili ya wana_Africa kusini wote sio kwa manufaa yake pekee. Je wewe huwezi kujitoa kuwatetea watumishi kama tayari ushaona wanaonewa?

"Ukombozi unaweza ukaletwa na mtu wa ndani ama wa nje" ndo watu kama akina MARCUS GARVEY walifanya hivyo kipindi cha kuonewa kwa watu weusi America (kipindi kile ikiitwa New world)
Kuwakumbusha tu amechangia wewe ndio hatuoni mchango wako
 
watanzania wengi hawana uhakika wa maisha ya kesho. Mtu anajiona nikilalamika nikatumbuliwa kesho naishi je?
 
Je wewe umefanya jambo/jitihada gani kuwasadia? Hata kama wewe sio mtumishi. Mathalani Nelson Mandela alipigana na kufungwa miaka 27 kwa ajili ya wana_Africa kusini wote sio kwa manufaa yake pekee. Je wewe huwezi kujitoa kuwatetea watumishi kama tayari ushaona wanaonewa?

"Ukombozi unaweza ukaletwa na mtu wa ndani ama wa nje" ndo watu kama akina MARCUS GARVEY walifanya hivyo kipindi cha kuonewa kwa watu weusi America (kipindi kile ikiitwa New world)
Ukisikia hotuba ya JPM kuhusu uzalendo juzi wakati anapokea Airbus? Kama uliisikia na kuielewa basi kwa ukimya wao watumishi wa u make unaonyesha kiwango kikubwa cha uzalendo.
 
Je wewe umefanya jambo/jitihada gani kuwasadia? Hata kama wewe sio mtumishi. Mathalani Nelson Mandela alipigana na kufungwa miaka 27 kwa ajili ya wana_Africa kusini wote sio kwa manufaa yake pekee. Je wewe huwezi kujitoa kuwatetea watumishi kama tayari ushaona wanaonewa?

"Ukombozi unaweza ukaletwa na mtu wa ndani ama wa nje" ndo watu kama akina MARCUS GARVEY walifanya hivyo kipindi cha kuonewa kwa watu weusi America (kipindi kile ikiitwa New world)

Hao wanaotetewa wanapaswa nao hata kuonyesha kuchukizwa, wao wako kimya kabisa kama makondoo. Enzi za Mandela weusi walipambana.
 
watanzania wengi hawana uhakika wa maisha ya kesho. Mtu anajiona nikilalamika nikatumbuliwa kesho naishi je?

Mkuu uko sawa sana, ukikutana na mtu ni mtumishi ana nidhamu za uoga mpaka unajiuliza inakuwaje. Nashukuru sijawahi kuajiriwa maisha yangu yote na sihitaji kuajiriwa maana ukondoo siwezi.
 
Kwa hali Ilivyo sasa kugoma si obtion. Sasa hivi ukigoma wengine wanapata ajira mpya na vijana wa kijamaa wasiojali malipo makubwa wapo tayari kuingia kazini. Unagoma leo asubuhi ukifungua habari jioni kusikia kilichojiri unasikia kuna Mtu anaifanya hiyo kazi kwa nusu mshahara uliokuwa unaopokea. Wapo watu wanataka wapewe nauli na chakula tu ilimradi asubuhi atoke na yeye anaenda kazini.
 
Wao hujitetea kwa misingi ya kisheria kwani nchi hii ni ya utawala wa sheria.

Kwa mjibu wa sheria ya kazi Na. 6/2004 na kanuni zake za mwaka 2007 zinawataka kutumia TRADE UNION kama mwakilishi. Na tayari TUCTA, na CWT kama TRADE UNION wamesha wasilisha hoja zao serikalini.

Je mleta maada yeye kafanya lipi tofauti na kuleta hapa JF ambapo sio mahara sahihi pa kutatua kero za watu??.
Hao wanaotetewa wanapaswa nao hata kuonyesha kuchukizwa, wao wako kimya kabisa kama makondoo. Enzi za Mandela weusi walipambana.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhido ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Back
Top Bottom