Ukimya wa serikali na upotefu wa trilion1 za Marekani

SON OF THE LAND

JF-Expert Member
Oct 7, 2015
204
210
Mheshimiwa Magufuli najua wewe sio mzuri kwenye hii elimu ya Business na Finance, na hio imei cost Tanzania shs Trilion1 ambayo ni hela haujaweza kuuingiza kama pato toka uingie madarakani ni hio ni kuonesha kwamba hio hela ni nyingi kiasi gani, kwa wale wana mahesabu watanielewa yaani kikwete alikua anaingiza Bilion 900 kila mwezi na Magufuli anainingiza average Trilion1.2 ukitoa hapo utapa kwa hio yeye kaongeza pato la kama 300bilion so kwa muda wote huu aliokaa madarakani hajaweza kufikisha trilion1 ambayo ndio hela tulio ikosa kutoka kwa wamarekani kwa sababu za kijinga tu zisizo na msingi na kujifanya hawezi kuingilia yale majanga yaliokua yanatokea zanzibar sasa kwa assessment za private companies Magufuli ni failier na anatakiwa afukuzwe au mkataba ukatishwe kama Director wa company kwa kutojua NPV ambayo ni kitu simple sana

Angeweza acha kukimbizana na akina bakharesa akapambana na marekani kupata hio hela kwanza then hao wakwepa kodai wengine baadae sasa hivi tungekua tunaongelea kitu kingine hapa i mean umeme wa kutosha nigeria pamoja na shortage ya umeme walio nayo still wana zalisha umeme zaidi megawatt 10,000 wakati sisi bado tunakomaa na vi megawatt 2000, na ni kitu ambacho bila wizi tulikua na uwezo wa kupata machine kutoka GENERAL ELECTRIC machine za zaidi ya Meg 3000 kwa hio trilion amabyo magufuli na kikwete wameichezea na kuendelea kukimbizana na vijitu vidogovidogo na thubutu kumtaja na kikwete sasa yeye ndio mwenyekiti wa ccm na Magufuli ndio baba wa Taifa hili kwa sasa

Ushauri: its not too late Mr president we can still make it lakini kama mtaacha na kuficha huo ukuu wenu atleast mkacheza huo mpira wa wamarekani mashaert walioyaweka wala sio mabaya wala sio makubwa hawajatuambia tuwe ma Gay hapana wameweka vitu muhimu kwa mstakabali wa Taifa pia fateni hayo mashart nyie mnayajua tafadhalini tunazihitaji hizo hela tusijifanye kwamba tunaweza kujitegemea wakati ukiangalia hio budget yenu ya kila mwezi hela za maendeleo katika hio trilion unayokusanya ni almost bilion250 sasa kwa huu mwendo Magufli trust me utaondoka madarakani bilabila kama mh kikwete halafu uonekane na wewe haujafanya kitu wakati ki ukweli unajitahidi kupiga kazi
yangu ni hayo kama mtanzania
 
Utapotezaje hela ambayo hukuwa nayo in the first place? Tofautisha ahadi na actual. Marekani walitoa ahadi, sasa wamebadili mawazo.
 
Huyu atàkuwa mcheza pool tuu, DC kamata yeye weka ndani 48 hrs akitoka atakoma kufikiria kwa kutumia masaburi
Wakae na hela zao kwanza nao watu wao Ni maskini sana tuu wanazihitaji
 
kutokana na ufisadi, rushwa na ukandamizaji wa demokrasia uliojaa katika nchi nyingi za kiafrika, tumejikuta tukitawaliwa kiuchumi na wazungu kupitia ukoloni mamboleo ambao umelenga zaidi katika uchumi mbovu wa nchi zetu. kwa hali hiyo tusijidanganye kuwa eti tuna uzalendo wa kukataa misaada ya masharti wakati ambao bajeti yetu bado huwa inaandaliwa pakiwa na asilimia hadi 40 ya kutegemea wafadhili. wakati wa Nyerere tulijifunga mkanda kwa kuikataa IMF lakini tulishindwa tukakubali masharti yao magumu,na bado hatujaweza kujitegemea.TAFAKARI:mtanzania unaposema 'MCC wasitake kutubabaisha' kumbuka unadaiwa deni la kigeni shs laki tisa(kila mwanzania). tueleze utalilipaje na utalilipa lini?
 
Wapinzani na akili za kimaskini

Mkuu stroke tujaze hiyo mijihela basi angalao tupate kujinunulia vitanda kwa wajawazito mahospitalini bila ya kusahau tununue madawati kwa zile shule zetu za kata! Naona hio mihela pengine iko mtaa wa Lumumba na Kisiwandui pekee na mbona huku uswazi hatuzioni mkuu.
 
Huyu atàkuwa mcheza pool tuu, DC kamata yeye weka ndani 48 hrs akitoka atakoma kufikiria kwa kutumia masaburi
Wakae na hela zao kwanza nao watu wao Ni maskini sana tuu wanazihitaji
ati watu wao ni masikini? hujui kuwa kodi za hao wananchi wao unaowaita masikini ndizo zinafanya tupate misaada? na mnavaa hadi nguo zao za mtumba.kumbuka kukonda kwa ng'ombe sio sawa na kukonda kwa tembo!
 
Kijiji chetu kitakosa umeme kwa miaka 5 sababu ya upumbavu wa ccm. Nilipanga kuhamia kijijini sasa nitaendelea kucheza pool mjini huku nikiiona man u.
 
Wapinzani na akili za kimaskini
mkuu siyo akili za kimaskini. Nchi yetu zaidi ya asilimia 90 kula milo mitatu ni anasa. It's a grave ishu. Wewe hupo kwenye kiyoyozi umeninginiza pumbu huwez ukajali. People out there are living desperately bcoz of your selfish deeds. Mkituliza makalio yenu kwenye V8 mnakuwa vipofu. Mnajaza mitumbo yenu na soseji na juis nzito za maembe. Really u guys u need to be nuked
 
Mkuu stroke tujaze hiyo mijihela basi angalao tupate kujinunulia vitanda kwa wajawazito mahospitalini bila ya kusahau tununue madawati kwa zile shule zetu za kata! Naona hio mihela pengine iko mtaa wa Lumumba na Kisiwandui pekee na mbona huku uswazi hatuzioni mkuu.
Mihela inaanzia kwa kua na akili za kitajiri za kujitegemea, sio hizi za kimaskini za ukawa za kulilia misaaada ya wazungu, unafikiri wao wangekua na mentality kama hii yetu ya kuabudu misaada wangefikia hapo walipo sasa.. mnasikitisha sana kwa jinsi mlivyo vipofu..
 
Mihela inaanzia kwa kua na akili za kitajiri za kujitegemea, sio hizi za kimaskini za ukawa za kulilia misaaada ya wazungu, unafikiri wao wangekua na mentality kama hii yetu ya kuabudu misaada wangefikia hapo walipo sasa.. mnasikitisha sana kwa jinsi mlivyo vipofu..
yetu macho si tupo humu jf.
 
Watu waliobobea kwenye mikopo utawajua,sisi wengine hiyo sio fani yetu, we always desire to stand on our own.But let me tell you one thing,it is a shame to borrow.Borrowing is a form of slavery and for that reason a borrower is a slave.Laiti ungejua chanzo chanzo cha wimbi la kuhamasisha mikopo na sababu zake usingekopa.We as Tanzanians are safer without debts.
Mheshimiwa Magufuli najua wewe sio mzuri kwenye hii elimu ya Business na Finance, na hio imei cost Tanzania shs Trilion1 ambayo ni hela haujaweza kuuingiza kama pato toka uingie madarakani ni hio ni kuonesha kwamba hio hela ni nyingi kiasi gani, kwa wale wana mahesabu watanielewa yaani kikwete alikua anaingiza Bilion 900 kila mwezi na Magufuli anainingiza average Trilion1.2 ukitoa hapo utapa kwa hio yeye kaongeza pato la kama 300bilion so kwa muda wote huu aliokaa madarakani hajaweza kufikisha trilion1 ambayo ndio hela tulio ikosa kutoka kwa wamarekani kwa sababu za kijinga tu zisizo na msingi na kujifanya hawezi kuingilia yale majanga yaliokua yanatokea zanzibar sasa kwa assessment za private companies Magufuli ni failier na anatakiwa afukuzwe au mkataba ukatishwe kama Director wa company kwa kutojua NPV ambayo ni kitu simple sana

Angeweza acha kukimbizana na akina bakharesa akapambana na marekani kupata hio hela kwanza then hao wakwepa kodai wengine baadae sasa hivi tungekua tunaongelea kitu kingine hapa i mean umeme wa kutosha nigeria pamoja na shortage ya umeme walio nayo still wana zalisha umeme zaidi megawatt 10,000 wakati sisi bado tunakomaa na vi megawatt 2000, na ni kitu ambacho bila wizi tulikua na uwezo wa kupata machine kutoka GENERAL ELECTRIC machine za zaidi ya Meg 3000 kwa hio trilion amabyo magufuli na kikwete wameichezea na kuendelea kukimbizana na vijitu vidogovidogo na thubutu kumtaja na kikwete sasa yeye ndio mwenyekiti wa ccm na Magufuli ndio baba wa Taifa hili kwa sasa

Ushauri: its not too late Mr president we can still make it lakini kama mtaacha na kuficha huo ukuu wenu atleast mkacheza huo mpira wa wamarekani mashaert walioyaweka wala sio mabaya wala sio makubwa hawajatuambia tuwe ma Gay hapana wameweka vitu muhimu kwa mstakabali wa Taifa pia fateni hayo mashart nyie mnayajua tafadhalini tunazihitaji hizo hela tusijifanye kwamba tunaweza kujitegemea wakati ukiangalia hio budget yenu ya kila mwezi hela za maendeleo katika hio trilion unayokusanya ni almost bilion250 sasa kwa huu mwendo Magufli trust me utaondoka madarakani bilabila kama mh kikwete halafu uonekane na wewe haujafanya kitu wakati ki ukweli unajitahidi kupiga kazi
yangu ni hayo kama mtanzania
 
Yahusu sababu za mwelekeo wa Tanzania kukosa misaada ya MCC:
Je nchi yaani Tanzania ingepiga kura kwa uhuru ni nini mtazamo kuhusu Zanzibar? Wazanzibari wote wangepiga kura kwa uhuru (bila CUF kuzuia wengine) ni nini mtazamo kuhusu Zanzibar? Hivi tuna wasiwasi na Wazanzibari wenzetu? Nionavyo watakaoathirika zaidi tukikosa MCC ni Tanzania bara kwa ni tukubali iwe hivyo? AMANI HULETA MAENDELEO KULETA AMANI.
 
Magufuli hata mabalozi tu kakataa kukutana nao.

Anaweza kuwaambia Wamarekani "Wataisoma namba".
 
Back
Top Bottom