Mbeya miaka Fulani walikuwa wanamwita sugu Rais,na yalitokea maandamano makubwa ambayo ililazimika Sugu aombwe bungeni kwenda mbeya kuwasikiliza. Lugha aliyotumia ninyepesi sana watu wakarudi kwenye shughuli zao.
Watanzania ni wavumilivu. Ila wana ukimya wenye madhara ukiendekeza wawe wakimya kwenye haki yao ya msingi.