Ukimya na giza baada ya uchaguzi

Ukimya na giza baada ya uchaguzi

robert deusi

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2014
Posts
399
Reaction score
69
Pamoja na kwamba uchaguzi umeisha na
mshindi kapatikana lakini ari si shwari kwa watanzania walio wengi hakuna furaha wala nderemo nchi imekua kama imepatwa na msiba wa taifa
taifa limepata simanzi kwa ushindi wenye walakini wa ccm
Pamoja na hayo bado pia upande wa zanzibar ambapo mambo si shwari
Je hapa watawala wetu wanatufundisha
kitu gani kwa bara na visiwani?
Au ndio kutuhadaa na amani wakati wanatufanyia mambo yasiyo na utu na

haki.
mpaka sasa ccm inafosi kutawala lakini mwisho wa haya mabavu ya ki utawala uwa mabaya kwa taifa
aiwezekani chama kishinde alafu waliokichagua wawe kimya hata shangwe amna ebu viongozi waliangalie hili wasije kutupeleka kubaya
 
naukitaka kuamini kwamba ushindi wa Pombe sihalali we pitapita mitaani mkoa kwa mkoa utaona jinsi watz asilimia kubwa walivyosononeka na kuhuzunika!!! hiyo inaashiria kwamba Pombe hakushinda isipokuwa walipika matokeo yao!!!

we just pitapita tu mtaa kwa mtaa afu utapata jibu mwenyewe!!!!!
 
Pamoja na kwamba uchaguzi umeisha na
mshindi kapatikana lakini ari si shwari kwa watanzania walio wengi hakuna furaha wala nderemo nchi imekua kama imepatwa na msiba wa taifa
taifa limepata simanzi kwa ushindi wenye walakini wa ccm
Pamoja na hayo bado pia upande wa zanzibar ambapo mambo si shwari
Je hapa watawala wetu wanatufundisha
kitu gani kwa bara na visiwani?
Au ndio kutuhadaa na amani wakati wanatufanyia mambo yasiyo na utu na

haki.
mpaka sasa ccm inafosi kutawala lakini mwisho wa haya mabavu ya ki utawala uwa mabaya kwa taifa
aiwezekani chama kishinde alafu waliokichagua wawe kimya hata shangwe amna ebu viongozi waliangalie hili wasije kutupeleka kubaya

Labada huko chadema ndio wako kimya... Wamesema wamekwenda icc mtulie....
 
pamoja na kwamba uchaguzi umeisha na
mshindi kapatikana lakini ari si shwari kwa watanzania walio wengi hakuna furaha wala nderemo nchi imekua kama imepatwa na msiba wa taifa
taifa limepata simanzi kwa ushindi wenye walakini wa ccm
pamoja na hayo bado pia upande wa zanzibar ambapo mambo si shwari
je hapa watawala wetu wanatufundisha
kitu gani kwa bara na visiwani?
Au ndio kutuhadaa na amani wakati wanatufanyia mambo yasiyo na utu na

haki.
Mpaka sasa ccm inafosi kutawala lakini mwisho wa haya mabavu ya ki utawala uwa mabaya kwa taifa
aiwezekani chama kishinde alafu waliokichagua wawe kimya hata shangwe amna ebu viongozi waliangalie hili wasije kutupeleka kubaya

watashangiliaje ukawa wote wamesema kama ukitaka kushangilia hakikisha upo umbali wa mita 200,
watu wana hasira sana,
ukawa wa dar es salaam hawakupaswa kuhudhuria kampeni viwanjani tu,
walipaswa wafanye kama ccm, waunde timu ya kutembea wilaya hadi wilaya, tarafa hadi tarafa, kata hadi kata, kijiji hadi kijiji, mtaa hadi mtaa, balozi hadi balozi, nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba, shuka kwa shuka.....
Na hiyo ndiyo moja ya mbinu iliyotumiwa na ccm, ingawa vituo vyote vya itv havikuonesha hiyo mikutano lakini ndiyo iliyoleta ushindi....
 
watashangiliaje ukawa wote wamesema kama ukitaka kushangilia hakikisha upo umbali wa mita 200,
watu wana hasira sana,
ukawa wa dar es salaam hawakupaswa kuhudhuria kampeni viwanjani tu,
walipaswa wafanye kama ccm, waunde timu ya kutembea wilaya hadi wilaya, tarafa hadi tarafa, kata hadi kata, kijiji hadi kijiji, mtaa hadi mtaa, balozi hadi balozi, nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba, shuka kwa shuka.....
Na hiyo ndiyo moja ya mbinu iliyotumiwa na ccm, ingawa vituo vyote vya itv havikuonesha hiyo mikutano lakini ndiyo iliyoleta ushindi....


Swadakta!!!!!!!!!
Wape vidonge vyao hao.
 
Back
Top Bottom