Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,789
Hili halina ubishi !
Kwa mfano huohuo ndivyo ambavyo ukianza kumtukana mtu , kwa kumwita MPUMBAVU , LOFA hakuna shaka nawe umewasha taa ya kijani utukanwe !
Hususa pale utakapo watukana viongozi wenye wafuasi lukuki !
Impact ama mrejesho wake , utakurejea toka kwa viongozi na wafuasi wao .
Sikutaraji mzee (Rais mstaafu) mwenye kuheshimika ku'miss behave kivile !
Nikizingatia upande wa pili uliyoshambuliwa lugha hizo wana umahiri nazo kisawasawa !
(ni kama vile namuona Tundu Lissu , Godbless Lema anajibu mapigo)
Shughuli ipo !
Kwa mfano huohuo ndivyo ambavyo ukianza kumtukana mtu , kwa kumwita MPUMBAVU , LOFA hakuna shaka nawe umewasha taa ya kijani utukanwe !
Hususa pale utakapo watukana viongozi wenye wafuasi lukuki !
Impact ama mrejesho wake , utakurejea toka kwa viongozi na wafuasi wao .
Sikutaraji mzee (Rais mstaafu) mwenye kuheshimika ku'miss behave kivile !
Nikizingatia upande wa pili uliyoshambuliwa lugha hizo wana umahiri nazo kisawasawa !
(ni kama vile namuona Tundu Lissu , Godbless Lema anajibu mapigo)
Shughuli ipo !