Kweli mkuu ni mambo ya kitoto tena mchanga.Mwagito84 wewe ni MTU mzima sasa hebu achana na post za kitoto
wacha kujitetea ujinga. Sio kila kitu ni cha kupost JF.Puvu la nini sasa.........kama unabisha mpeleke chuo uone...huo ndio ukweli....Campus ni shiiiiidhaaaa
Utafikiri huna dhambia.......wakati inbox yako inatia kinyaaaaaaaaa......kwani mademu unapiga wote umewaoa. .....unafiki nao ni dhambiMbona hamna huruma kwa huyu mwanamke anayeteseka kwa kukosa haki yake kwa kitambo kirefu
wacha kujitetea ujinga. Sio kila kitu ni cha kupost JF.
Ficha upumbavu wako
Utafikiri huna dhambia.......wakati inbox yako inatia kinyaaaaaaaaa......kwani mademu unapiga wote umewaoa. .....unafiki nao ni dhambiMbona hamna huruma kwa huyu mwanamke anayeteseka kwa kukosa haki yake kwa kitambo kirefu
wacha kujitetea ujinga. Sio kila kitu ni cha kupost JF.
Ficha upumbavu wako