Ukikubali kumsomesha mkeo uwe tayari kumegewa

Wanawake hasa wake za watu wakishaingia tu kwenye mazingira ya campus za chuo wanagongwa sana

Wanachokuomba tu ni usiwape ujauzito...na ikitokea wakapata bas wanaenda kuzitoa chap.

Mungu tu awasaidie washinde majaribu.
 
Ni kweli kuna rafiki yangu alimla mke wa mtu chuo enzi hizo tunasoma.alidai mumewe yuko mbali,na anahisi atakuwa nae huko aliko anatembea na wanawake wengine kwa hio acha na yeye atembee nje,chuoni.
 
Umsomeshe au usimsomeshe..akiamua kugongwa atagongwa tu!
 
Kama kichwa hakikidhiani na hoja yenyewe,,ila unadhan mumewe angekua anamtosheleza ungempata ?amekufuata SBU ana shida za kutimiziwa na ukiona mke anachepuka na kutangaza mapungufu ya mumewe ujue sio mke bora. Endelea nae tu Ila badae utatuambia kitakachokutokea kati yako na mkeo mbelen. Alae vya watu nae vyake huliwa kubal kataa
 
Ila kweli c kila kitu ni cha kupost jf,mambo mengine ni ya kijiweni zaidi hayafai humu
 
Back
Top Bottom