Habari za mda huu wana jf
Ipoo hivi kuna mdada mmoja hvi ni mzuri kinoma yaani mzuri haswa bwana churaa ndo usipimee.
Kidume nikajitoa ufahamu nikamfuta manzi kumuongelesha tuu kujibu tabu akanambia toka nitakuabisha sasa hivi

wewe hunijui basi ikabdi nitulie kidume nisije nikaibika.
Siku zikaend na miezi ikaenda nikwa kwenye kongamano moja la vijana mara paaa hyu hapa yule manzi akniona kumbe akanikumbuka nikjafnya kama sijamuona akawa ananiangali sana mimi nikajifanya simuoni basi mwisho wa sku nikmfuata nikampa mkono kanyoosha kanishika duuh nkaona kama ni ndoto

bsi bana story story nikwa nmepata company mm kimya akanza kunambia sowry bana siku ile si unajua sku hazifanani? Naomba unisamehe skudhani kama wewe ni mstarabu hivi nkamuambia yameisha mama mimi shasahau na nmesamehe . akanipa namba mwenyewe bila kuombwa .
Kurudi nyumbani cm text haziishii daah mpka sasa sasa hvi siamini kama nmempata walai nikipita nae mtaani vidume mate yanawatoka
Ukijifanya mjinga utafahamu mengi na pia utapata vingi
Ustaarabu nao nijambo jema sana tuweni wastaarabu.
Leo mtoto naamiliki na mcontroll nitakavyo Mimi wake yeye wangu
Nakupend Boo wangu