Ukiagiza kupitia Basi la Simba ni Bure

Sheikh23

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
1,202
Reaction score
2,001
Kiwanda cha Sukari Kagera Sugar cha mkoani Kagera kimetoa ofa kwa mashabiki wa Simba Sc a.k.a mikia na wapenzi wa soka kutoa ofa ya kiroba kimoja cha sukari lakini kwa sharti la kuagiza kupitia Basi la timu hiyo,Mwenye namba ya Kagere anicheki_PM nipate Sukari,mfungo wa Mwezi Mtukufu upo karibu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…