ukiacha android na ios, hivi java v/s symbian

ukiacha android na ios, hivi java v/s symbian

shyja

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
410
Reaction score
67
wandugu nimeuliza hv ili tujuzane coz hzo system dizain ka znapotea hv kwa sababu ya droid na ios kwa kiwango fulani. Nakumbuka cm nying za nokia nizotumia ndo zlkuaga na java au symbian.
 
Inakuhusu nini zikipotea

hujaelewa nn sasa? inahusu kupotea ulitaka ihusu kuolewa? Au umekosa cha kukoment ndo umeamua uropoke tu ili uoneshe uwepo wako? Haya umeonekana.
 
java haiwezi kutoweka hata kwa fikra
 
java is a programming language while symbian,ios and android are mobile operating system, so i dont know what you are saying! In fact a lot(if not all) of native android apps are developed with java.
 
jaman m2 akiuliza ki2 ajibiwe na siop lugha chafu,maana wengn hujifunza kupitia maswali yanayouliza thankx kwa wote mnao respond positive
 
najua java ndo kila ki2 but hv hakuna software ambayo inaweza take over?

mkuu kwa sasa bado hakuna harufu hiyo, naamini kuna developers wanaokerwa na dominance ya java na wanajiuliza kwa msingi wa swali lako. nami natamani software kushindana na java
 
Nokia Wameacha Kui Develop Symbian Pamoja Na Meego So Wameamua Kukazia Kwenye Windows Phone Na Asha Os Ambayo Imeanza Kutumika kwenye Nokia Asha 501 Iliyo Ingia Sokon Hvi Karibuni!!

simu Ya Mwisho Kutoka Na Symbian Os Ilikua Nokia 808 iliyotoka Mwaka Jana Na Latest Version Ya Symbian Ni Belle Os
 
Nokia Wameacha Kui Develop Symbian Pamoja Na Meego So Wameamua Kukazia Kwenye Windows Phone Na Asha Os Ambayo Imeanza Kutumika kwenye Nokia Asha 501 Iliyo Ingia Sokon Hvi Karibuni!!

simu Ya Mwisho Kutoka Na Symbian Os Ilikua Nokia 808 iliyotoka Mwaka Jana Na Latest Version Ya Symbian Ni Belle Os

kwa maana hiyo apps na games za .jad(java) na .sis(symbian) zinaweza kupungua kwa kias kikubwa sana kwa kipnd kijacho. Coz cm kubwakubwa nyng ni android, na nokia os. Na os zngne nyng tu.
 
mkuu kwa sasa bado hakuna harufu hiyo, naamini kuna developers wanaokerwa na dominance ya java na wanajiuliza kwa msingi wa swali lako. nami natamani software kushindana na java

mkuu ngja tuxubir itakuwaje coz java wamedominate ulimwengu wa teknolojia kwa kiwango kikubwa sana.
 
kwa maana hiyo apps na games za .jad(java) na .sis(symbian) zinaweza kupungua kwa kias kikubwa sana kwa kipnd kijacho. Coz cm kubwakubwa nyng ni android, na nokia os. Na os zngne nyng tu.

sis ndo zitapungua ila jad na jar bado zipo sana nokia anauza around simu milion 200 hadi 250 kwa mwaka za java na samsung around 100m hadi 150m kwa mwaka. ina maana kuna simu zaidi ya 400m zinauzwa kwa mwaka ambazo sio smartphone.

sidhani kama kuna mtu anaona tabu kudevelop apps zenye user base ya mabilion.

believe it or not hakuna platform yenye game nyingi (quantity) kuliko platform hii ya java.
 
Java ni programming language symbian ,android na ios ni operating systems
Android ni operating system ambayo imeundwa na linux(linux based
).Waanzilishi ni kampuni ya google. Android inatumia dalvik virtual machine kuwezesha kurun java applications kwenye android.Kwahiyo application za android nyingi zinaundwa na java japo unaweza kutumia native languages kama c au c++ kuunda hizo app.

Ios au iphone operating system imeundwa kwa ajili ya simu,programned in c ,c++ objective c...
Application za iphone zimeundwa kwa lugha inayoitwa objective c au cocoa.
Symbian,nokia ndo wamekuwa wakiitumia sana, samsung pia kwa simu zake za zamani. Imeundwa na c++ na application zake pia zatengenezwa kwa c++ wakichanganya pia na html5 nk.
 
Java ni programming language symbian ,android na ios ni operating systems
Android ni operating system ambayo imeundwa na linux(linux based
).Waanzilishi ni kampuni ya google. Android inatumia dalvik virtual machine kuwezesha kurun java applications kwenye android.Kwahiyo application za android nyingi zinaundwa na java japo unaweza kutumia native languages kama c au c++ kuunda hizo app.

Ios au iphone operating system imeundwa kwa ajili ya simu,programned in c ,c++ objective c...
Application za iphone zimeundwa kwa lugha inayoitwa objective c au cocoa.
Symbian,nokia ndo wamekuwa wakiitumia sana, samsung pia kwa simu zake za zamani. Imeundwa na c++ na application zake pia zatengenezwa kwa c++ wakichanganya pia na html5 nk.

mkuu android google ameinunua kwa kina andy rubin hajaianzisha yeye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom