Hao kwenye blue kawaida yao ni mbwembwe tu..hawana ishu !kazi kuvaa suti tuu! Hizo nondo nilikula A'level!
Asalam Alleykum wana jamvi hili tukufu.
Naja hapa nami ili kuleta tatizo langu linalonikabili kunako uwanja wa sita kwa sita,
Tatizo lenyewe ni uke wangu kutoa maji mengi sana, yaani naweza hata jaza kisado baada ya kumaliza kufanya mapenzi.
Je,Huu ni ugonjwa au ni hali ya kawaida kwa maumbile yangu, maana nina mwili wa wastani tu.
wengine waniambia eti niache kula Nyanya Chungu maana nazo zinachangia.
Naomba mnisaidie nifanyaje maana nimebaki gwaa!!! kama mchuzi wa dagaa.
''Suti nene kama ya Rutashobya''
Asalam Alleykum wana jamvi hili tukufu.
Naja hapa nami ili kuleta tatizo langu linalonikabili kunako uwanja wa sita kwa sita,
Tatizo lenyewe ni uke wangu kutoa maji mengi sana, yaani naweza hata jaza kisado baada ya kumaliza kufanya mapenzi.
Je,Huu ni ugonjwa au ni hali ya kawaida kwa maumbile yangu, maana nina mwili wa wastani tu.
wengine waniambia eti niache kula Nyanya Chungu maana nazo zinachangia.
Naomba mnisaidie nifanyaje maana nimebaki gwaa!!! kama mchuzi wa dagaa.
Msaidie mtu tatizo lake mnaandika yasituhusuwanavaa wafanane na rafiki zao kina Rweyongeza, Rutashubanyuma..
Msaidie mtu tatizo lake, mnaandika yasituhusu
Rachel Jeantel Jf ni hospital? Ni kweli hayakuhusu niliyoandika!
ficha umburula wako,
hivi unajua kwanini hili jukwaa likaitwa "JF DOCTOR"
Watu kama nyinyi ndio janga la JF!
Ukikaa kimya pia tutajua kama upo
Tafuta mwanaume anayeweza mchezo hayo maji yatakauka tu. Hujapata dushelele Yaukweli
nimeipenda hiyo.
Mdada mimi kama kijana nilicho pata napenda kumpa mwenzangu nikidhani kinafaida moja ama nyingine iko ivi mimi nimeambiwa kua mwanamke kua na maji mengi wengi inatokana na kutofanya tendo la ndoa kwa kipindi kirefu ivi hilo la kwanza pili nikaambiwa wanawake wa kanda za juu hasa wakabila la wakulya wanatoa maji hambayo ni mengi kama ulivyo sema wewe unaweza jaza kisado ambapo kitendo hicho wanaita "KATERERO"...Sasa basi utachambua hapo eidha wewe unakua ufanyi nonino kwa muda au nikabila hilo hapo juu na kwa madaktari wanavyo sema "mwanamke anaye tokwa na maji mengi ukeni ndo mzuri kwani mwanaume hapati shida kugobeka na mwanake huwa apati maumivi na hii huepusha michubuko ambayo ingepelekea kupata maladhi kiulahisi ikiwa kinyume na mwanamke mkavu ila mimi namtafuta mkulya nipige katerero thanks...