Ukawa

Ukawa

MamaYanguTanzania

New Member
Joined
May 8, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Kwanini kwa umoja wenu huo mlionao msiutumie kutimiza matakwa yenu bunge la katiba, instead mnapewa forum hamtumii na kututishia tu what you might do. Sasa mchakato mmeukacha, bdo uchaguzi mnatishia mtaugomea. Mtaishia kuwaacha CCM waogoze tu, manake mkisema waendelee kuprevail na nyie bungeni hamtaki kwenda, in the ende nyie ndo mtakua chanzo cha machafuko nchini mwetu. Jambo ambalo watanzania hatutawza kuruhuru litokee hata kidogo. Mkachafue bungeni ukouko lakini sio mje kutupganisha sisi wananchi kwa ajili ya maslahi yenu UKAWA. Nawaunga mkono sana Chadema. Zitto n Mnyika inspires me a lot but, we can't hold your hand in this. Mtafute means iliyo sawa na si kuwawekea wananchi hofu ndani ya vichwa vyao. Kuwajali wananchi ni pamoja na kutokuwatesa kifikra hivo ndivyo tunavyotegemea nyie mtufanyie.
 
Kwanini kwa umoja wenu huo mlionao msiutumie kutimiza matakwa yenu bunge la katiba, instead mnapewa forum hamtumii na kututishia tu what you might do. Sasa mchakato mmeukacha, bdo uchaguzi mnatishia mtaugomea. Mtaishia kuwaacha CCM waogoze tu, manake mkisema waendelee kuprevail na nyie bungeni hamtaki kwenda, in the ende nyie ndo mtakua chanzo cha machafuko nchini mwetu. Jambo ambalo watanzania hatutawza kuruhuru litokee hata kidogo. Mkachafue bungeni ukouko lakini sio mje kutupganisha sisi wananchi kwa ajili ya maslahi yenu UKAWA. Nawaunga mkono sana Chadema. Zitto n Mnyika inspires me a lot but, we can't hold your hand in this. Mtafute means iliyo sawa na si kuwawekea wananchi hofu ndani ya vichwa vyao. Kuwajali wananchi ni pamoja na kutokuwatesa kifikra hivo ndivyo tunavyotegemea nyie mtufanyie.

mbona unahangaika sana

Join Date : 8th May 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
 
mziki wa ukawa.utausikia muda simrefu,ikitu ya kuungana tulikua tunaingojea kwa muda mrefu sani,ccm sasa maji ya shingo,
 
Aise umekurupuka jipange ukalale ukiamka uje tna na mawazo mengne mbdala,
 
Unataka warudi bungeni wakawe rubber stamp ya CCM kupitisha mambo yao!!! Wamepandikiza woga upi kwa wananchi??! Hebu fafanua
 
mleta mada kavurugwa hajielewi, naona lb7 imesajiri interahamwe mpya hapa jf
 
Halafu mleta mada wewe ni mwenyeji sana humu na ni mpiga zeze mashuhuri kwenye lichama la majambazi, mbaya zaidi unajifanya kuja na id mpya, hebu wadanganye mainterahamwe wenzio wasio na roho za utu.
 
mbona unahangaika sana

Join Date : 8th May 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0

ngoja nitamgundua sasa hivi nitakuonyesha halafu ni me
 
Mtafute means iliyo sawa na si kuwawekea wananchi hofu ndani ya vichwa vyao. .
Je hofu ya ukawa kutoka bungeni inatoka wapi?
Huoni kuwa aliyewatia wananchi hofu ni yule aliyesema mkiamua serikali mbili jeshi litachukua madaraka? na akasahau kuwa naye ni mwanajeshi!
 
Unataka warudi bungeni wakawe rubber stamp ya CCM kupitisha mambo yao!!! Wamepandikiza woga upi kwa wananchi??! Hebu fafanua

Sasa ulitegemea wachache wawe na kura nyingi kuliko walio wengi?
 
Mtoa mada umeniudhi sana na kwa mada ulotoa umeonyesha jinsi ulivyo mnafki...
 
Kwanini kwa umoja wenu huo mlionao msiutumie kutimiza matakwa yenu bunge la katiba, instead mnapewa forum hamtumii na kututishia tu what you might do. Sasa mchakato mmeukacha, bdo uchaguzi mnatishia mtaugomea. Mtaishia kuwaacha CCM waogoze tu, manake mkisema waendelee kuprevail na nyie bungeni hamtaki kwenda, in the ende nyie ndo mtakua chanzo cha machafuko nchini mwetu. Jambo ambalo watanzania hatutawza kuruhuru litokee hata kidogo. Mkachafue bungeni ukouko lakini sio mje kutupganisha sisi wananchi kwa ajili ya maslahi yenu UKAWA. Nawaunga mkono sana Chadema. Zitto n Mnyika inspires me a lot but, we can't hold your hand in this. Mtafute means iliyo sawa na si kuwawekea wananchi hofu ndani ya vichwa vyao. Kuwajali wananchi ni pamoja na kutokuwatesa kifikra hivo ndivyo tunavyotegemea nyie mtufanyie.


Karibu jukwaani ila andika ukiwa umetulia!
 
Kwanini kwa umoja wenu huo mlionao msiutumie kutimiza matakwa yenu bunge la katiba, instead mnapewa forum hamtumii na kututishia tu what you might do. Sasa mchakato mmeukacha, bdo uchaguzi mnatishia mtaugomea. Mtaishia kuwaacha CCM waogoze tu, manake mkisema waendelee kuprevail na nyie bungeni hamtaki kwenda, in the ende nyie ndo mtakua chanzo cha machafuko nchini mwetu. Jambo ambalo watanzania hatutawza kuruhuru litokee hata kidogo. Mkachafue bungeni ukouko lakini sio mje kutupganisha sisi wananchi kwa ajili ya maslahi yenu UKAWA. Nawaunga mkono sana Chadema. Zitto n Mnyika inspires me a lot but, we can't hold your hand in this. Mtafute means iliyo sawa na si kuwawekea wananchi hofu ndani ya vichwa vyao. Kuwajali wananchi ni pamoja na kutokuwatesa kifikra hivo ndivyo tunavyotegemea nyie mtufanyie.

Kuna maana gani ya kuwa na mdomo kama huwezi kuuongea?

Kuna uwezo gani wa kupiga kura kama daftari la wapiga kura halijawa updated?

Kuna maana gani ya kuwa na uhuru wenye dhiki, ujinga na maradhi ndani yake? na je huu ni Uhuru?

wanao wataiga nini kutoka muoga kama wewe ambaye unashindwa kuwaandalia maisha mazuri na yenye uongozi adilifu kwa kushindwa kukipigania kilicho chako na haki yako? Taifa linaangamia kwa upumbavu wa watu wa aina yako!

NB;kupigigania haki yako na nchi yako haimaanishi umuue mwenzio! sauti ya pamoja,kutokuwa mbinafsi, akili na ubadilishaji wa fikra na upeo na ujasiri ni zaidi ya bomu la nuclear!

Fungua minyororo ya ujinga na umaskini na uwaeleweshe wanao.....mark my words someday things will change!
 
Back
Top Bottom