ProfessorChama
Member
- Jun 8, 2016
- 59
- 31
KWANINI WABUNGE WA UKAWA WALITOFAUTIANA NA KUONEKANA WAKILUMBANA KWA MUDA KABLA YA KUTOKA NJE YA BUNGE?
Kazi ipo mwaka huu, SISI YETU MACHO TU
Kazi ipo mwaka huu, SISI YETU MACHO TU
Acha uzushi ww ..mi nimeangalia hakukuwa na malumbano yyte ..wametoka kiustaarabu kabsaKWANINI WABUNGE WA UKAWA WALITOFAUTIANA NA KUONEKANA WAKILUMBANA KWA MUDA KABLA YA KUTOKA NJE YA BUNGE? Karibuni sana
ungetuambia walichokuwa wanalumbania,sasa unatuuliza sisi tuseme nini??mnazidi kukosa cha kuandika.bado kukimbia tu humu.aibu sanaKwanini wabunge wa UKAWA walitofautiana na kuonekana wakilumbana kwa muda kabla ya kutoka nje ya bunge?
Karibuni sana.
Huenda huyu muungwana aliangalia tukio hilo akiwa ndani ya bunge, ila tulioangalia kupitia bunge Tv tuliona Mbowe akianza safari. Hata hivyo wakati wanawaonesha wengi walikuwa wanatazamana kama kutaka kujua nini cha kufanya.Acha uzushi ww ..mi nimeangalia hakukuwa na malumbano yyte ..wametoka kiustaarabu kabsa
Ukawa wenyewe wanatamani kurudi bungeni ika wanaona aibu wanasubiri kubembelezwa...Baadhi ya watu humu wanatamani UKAWA warudi bungeni bila kuelewa wala kuzingatia msingi wa hoja zao,sasa wanapost hisia kuliko uhalisia
Thubutuuu ...hatutarudi hadi bunge lijalo ..habari ndo hiyoUkawa wenyewe wanatamani kurudi bungeni ika wanaona aibu wanasubiri kubembelezwa...
Mkuu bunge lijalo Tulia hatakuwepo?Thubutuuu ...hatutarudi hadi bunge lijalo ..habari ndo hiyo
NDUGU UKO VIZURI SANA....Huenda huyu muungwana aliangalia tukio hilo akiwa ndani ya bunge, ila tulioangalia kupitia bunge Tv tuliona Mbowe akianza safari. Hata hivyo wakati wanawaonesha wengi walikuwa wanatazamana kama kutaka kujua nini cha kufanya.
Nani ambaye alipaswa kuwa na uelewa zaidi juu ya kilichokuwa kikiendelea bungeni; ni yule aliyekuwa ndani, yule ambaye alitazama bunge kupitia bunge tv kama unavyodai, au aliyekuwa kazini kuitikia wito wa serikali wa kutoangalia bunge live ili kuunga mkono 'hapa kazi tu'? Hebu tuwekee hiyo clip hapa tuone huko kutazamana ambako wewe umehitimisha kuwa maana yake ni kutaka kujua nini cha kufanya!Huenda huyu muungwana aliangalia tukio hilo akiwa ndani ya bunge, ila tulioangalia kupitia bunge Tv tuliona Mbowe akianza safari. Hata hivyo wakati wanawaonesha wengi walikuwa wanatazamana kama kutaka kujua nini cha kufanya.
wacha watoke. serikali ya jpm imekumbatia maslahi ya umma hata bunge lote likitoka hakuna shida. wabunge wa ccm pia wengi ni tumbombele ila ukawa wengi pia ni nyumbu.Baadhi ya watu humu wanatamani UKAWA warudi bungeni bila kuelewa wala kuzingatia msingi wa hoja zao,sasa wanapost hisia kuliko uhalisia
SPIKA AWE MH. JOYCE NDALICHAKO NA NAIBU WAKE DR. TULIA LAZIMA WARUDI KIBORORONI KUUZA MAPARACHICHIMkuu bunge lijalo Tulia hatakuwepo?
Aliyekuwa ndani anayonafasi nzuri ya kujua kilichoendelea mle ndani kuliko anayeangalia kupitia bunge Tv. Huwa sina kihelehele cha kuchukua clip za bunge mara kwa mara. Huchukuwa pale nionapo tukio la kunifurahisha mimi kwa ajili ya kumbukumbu. Hili halikuwa tukio muhimu kwangu.Nani ambaye alipaswa kuwa na uelewa zaidi juu ya kilichokuwa kikiendelea bungeni; ni yule aliyekuwa ndani, yule ambaye alitazama bunge kupitia bunge tv kama unavyodai, au aliyekuwa kazini kuitikia wito wa serikali wa kutoangalia bunge live ili kuunga mkono 'hapa kazi tu'? Hebu tuwekee hiyo clip hapa tuone huko kutazamana ambako wewe umehitimisha kuwa maana yake ni kutaka kujua nini cha kufanya!