rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
UKAWA MBONA WANALIALIA??
Kuli kukicha hawa jamaa hawakosi sababu!Kutwa kutoa malalamiko wanaonewa,raia akihama ccm kwenda ukawa basi huyo amefanya jambo jema,ila akihama ukawa kwenda ccm basi ni tatizo,ccm wakijaza watu ktk kampeni utasikia wamesombelewa,ila wao wakijaza basi ni sunami,gazet likiandika mazuri ya ccm basi limenunuliwa,ila likiandika ya ukawa hilo ndo gazeti makini!!Ipo mifano mingi tu!!NAJIULIZA UKAWA MBONA WANALIALIA KWANI WAMEJIPANGAJE??
CCM ndo wanatapatapa maana hadi leo hawajasema kale kamgao kengine kaescroo katika benk ya ... nani alichukua?? twiga wetu nani alipakia kwenye ndege?? Mwanzilishi wa Richmond ni nani?? Aliyeuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa ni nani????Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)
Alianzia Dodoma na atamalizia Dodomawalianza wenyewe wanamaliza wenyewe Magufuli alianza na Mungu na Anamaliza na Mungu wooow Ikulu njia nyeupe
Zikiwa zimebaki siku 23 uchaguzi mkuu ufanyike nchini,umoja wa ukawa nchini umeanza poteza muolekeo wa kisiasa:Umoja huo kwa sas viongozi wake wanashindwa kunad sera zao mjukwaan vizuri na kutwa wamekuwa wakiiandama tume ya uchaguzi,mara propaganda za uongo kama vile toraka uje na ahadi kedekede ambazo utekelezaji wake hauwezekani ili mradi tu kuwini saikolojia za wananchi!Jaman watanzania sio wote malimbukeni,tumeshtuka!Kwa dalili hizi nakumbuka kale kausemi kuwa MFA MAJI AACHI ........(Maliza mwenyewe msomaji)
Wanatapatapa kutafuta huluma,imekula kwao hata udiwani hawapati.
Hawajiamini.
Kutapatapa
Ilitungwa lini na kwanini ilikuwa haitumiki? huoni kuna kitu nyuma ya pazia kablaMkuu Mbona Hiyo Kubandika Matokeo Ya Urais,mnyika Mwenyewe Alisema Ipo Kwenye Sheria Kabisa So Sio Kitu Cha Kujisifu Eti Wamejenga Hoja Wakati Kisheria Ipo Hiyo...