Ccm wanakelele sana hivi tar 25 si imekaribia basi tukutane siku hiyo
Na watazidi kushikishwa adabu.
umemrithi lizaboni? Na wewe utachuja soon maana hakuna namna
Duh, hizi kampeni sasa afadhali ziishe tujue moja.
Lowassa Kwisha habari yake.
Upumbavu huu na ushenzi huu unawekwa Jf ,
ubora wa Jf unashuka kila siku
Lowassa Kwisha habari yake.