UKAWA walihongwa na wataka uraisi 2015?

UKAWA walihongwa na wataka uraisi 2015?

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,209
Kuna taarifa zimezagaa mitaani kuwa viongozi wa UKAWA walihongwa na baadhi makundi yanayotaka uraisi bara na zanzibar 2015 ili katiba mpya isipite ibakie ile ya zamani ambayo ndio waiona ina maslahi kwao.Sababu sheria inasema endapo katiba mpya itakuwa bado katiba ya zamani itaendelea kutumika.

Makundi hayo ambayo ni makundi maslahi yanataka yapate uongozi kwa mfumo wa katiba ya zamani hivyo yalitoa mabilioni ya hela kwa viongozi wa UKAWA ili warubuni watu wao kwa hela na vitisho ili mchakato wa kupata katiba mpya ukwame.

Siri imefichuka baada ya wabunge wengine kususia na kuendelea kubaki ndani ya bunge la katiba baada ya kushindana dau ambapo baadhi walitaka wapewe hela nyingi ambazo viongozi wa UKAWA hawakuwa tayari kuwapa kutokana na kutaka kuwadhulumu tofauti na viwango ambavyo wafadhili walitoa.

Hoja za kutunga UKAWA ilizokuwa ikishupalia ilikuwa ni danganya toto jinga baada ya kufukia maburungutu ya hela kwenye makoti.
 
Kuna taarifa zimezagaa mitaani kuwa viongozi wa UKAWA walihongwa na baadhi makundi yanayotaka uraisi bara na zanzibar 2015 ili katiba mpya isipite ibakie ile ya zamani ambayo ndio waiona ina maslahi kwao.Sababu sheria inasema endapo katiba mpya itakuwa bado katiba ya zamani itaendelea kutumika.

Makundi hayo ambayo ni makundi maslahi yanataka yapate uongozi kwa mfumo wa katiba ya zamani hivyo yalitoa mabilioni ya hela kwa viongozi wa UKAWA ili warubuni watu wao kwa hela na vitisho ili mchakato wa kupata katiba mpya ukwame.

Siri imefichuka baada ya wabunge wengine kususia na kuendelea kubaki ndani ya bunge la katiba baada ya kushindana dau ambapo baadhi walitaka wapewe hela nyingi ambazo viongozi wa UKAWA hawakuwa tayari kuwapa kutokana na kutaka kuwadhulumu tofauti na viwango ambavyo wafadhili walitoa.

Hoja za kutunga UKAWA ilizokuwa ikishupalia ilikuwa ni danganya toto jinga baada ya kufukia maburungutu ya hela kwenye makoti.

Rubbish.. Tafuteni kazi za kufanya jamani.
 
Izo taarifa zimeenea mtaani kwako ila kwangu na ninapopita azijaenea
 
Kuna taarifa zimezagaa mitaani kuwa viongozi wa UKAWA walihongwa na baadhi makundi yanayotaka uraisi bara na zanzibar 2015 ili katiba mpya isipite ibakie ile ya zamani ambayo ndio waiona ina maslahi kwao.Sababu sheria inasema endapo katiba mpya itakuwa bado katiba ya zamani itaendelea kutumika.

Makundi hayo ambayo ni makundi maslahi yanataka yapate uongozi kwa mfumo wa katiba ya zamani hivyo yalitoa mabilioni ya hela kwa viongozi wa UKAWA ili warubuni watu wao kwa hela na vitisho ili mchakato wa kupata katiba mpya ukwame.

Siri imefichuka baada ya wabunge wengine kususia na kuendelea kubaki ndani ya bunge la katiba baada ya kushindana dau ambapo baadhi walitaka wapewe hela nyingi ambazo viongozi wa UKAWA hawakuwa tayari kuwapa kutokana na kutaka kuwadhulumu tofauti na viwango ambavyo wafadhili walitoa.

Hoja za kutunga UKAWA ilizokuwa ikishupalia ilikuwa ni danganya toto jinga baada ya kufukia maburungutu ya hela kwenye makoti.

Ah! Kweli za kuambiwa changanya na zako.Pole sana, ungechanganya na zako
 
Back
Top Bottom