Hebu onesha hayo waliyotangaza jana manake hayo matokeo ya Tunduma ndo yametangazwa leo-- yakiwa yametangazwa dakika chache tu zilizopita kabla sijaandika hii post na yanaonesha EL Tunduma amepata kura 32, 219 wakati CCM wamepata 19,446! Isitoshe, sina sababu ya kuandika manake baada ya kuyatangaza NEC huwa wanaya-post kwenye website yao na hata kwenye Twitter page yao!Unaandika lakini?Jana wakati wanatangaza wewe ulikuwa wapi?