UKAWA unaijenga CCM zaidi kuliko kuibomoa

UKAWA unaijenga CCM zaidi kuliko kuibomoa

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,854
Juhudi kubwa zinazofanywa na UKAWA hasa baada ya ndugu Lowassa kujiunga nao... Zimesababisha CCM kuwa makini sana katika maeneo mengi. Mfano mzuri ni pamoja na kupitisha wagombea wanao kubalika maeneo mbali mbali, kama Iringa mjini ambako ndugu Mwakalebela alikatwa mwaka 2010 licha ya kushinda.

Pia CCM inatambua baadhi ya walio kihama chama wanazijua siri za chama... Mwaka huu tutegemee mipango na mikakati mipya.

Zaidi ya yote kuimalika kwa upinzani kuna maanisha CCM itajikita zaidi katika kutimiza ahadi zake kwa wananchi.

Na chini ya uongozi wa Magufuli ambaye hana makundi kama wengine , na pia ambaye hana kundi la Matajiri nyuma yake.

Magufuli atakuja kuwa rais bora Tanzania sana.
 
Juhudi kubwa zinazofanywa na UKAWA hasa baada ya ndugu Lowassa kujiunga nao... Zimesababisha CCM kuwa makini sana katika maeneo mengi. Mfano mzuri ni pamoja na kupitisha wagombea wanao kubalika maeneo mbali mbali, kama Iringa mjini ambako ndugu Mwakalebela alikatwa mwaka 2010 licha ya kushinda.

Pia CCM inatambua baadhi ya walio kihama chama wanazijua siri za chama... Mwaka huu tutegemee mipango na mikakati mipya.

Zaidi ya yote kuimalika kwa upinzani kuna maanisha CCM itajikita zaidi katika kutimiza ahadi zake kwa wananchi.

Na chini ya uongozi wa Magufuli ambaye hana makundi kama wengine , na pia ambaye hana kundi la Matajiri nyuma yake.

Magufuli atakuja kuwa rais bora Tanzania sana.

Tulia sindano iingie vizuri! Ccm marehemu anayesubiriwa kuzikwa rasmi 25 October 2015!
 
Juhudi kubwa zinazofanywa na UKAWA hasa baada ya ndugu Lowassa kujiunga nao... Zimesababisha CCM kuwa makini sana katika maeneo mengi. Mfano mzuri ni pamoja na kupitisha wagombea wanao kubalika maeneo mbali mbali, kama Iringa mjini ambako ndugu Mwakalebela alikatwa mwaka 2010 licha ya kushinda.

Pia CCM inatambua baadhi ya walio kihama chama wanazijua siri za chama... Mwaka huu tutegemee mipango na mikakati mipya.

Zaidi ya yote kuimalika kwa upinzani kuna maanisha CCM itajikita zaidi katika kutimiza ahadi zake kwa wananchi.

Na chini ya uongozi wa Magufuli ambaye hana makundi kama wengine , na pia ambaye hana kundi la Matajiri nyuma yake.

Magufuli atakuja kuwa rais bora Tanzania sana.

Wewe unaota asubuhi....jina lako tu linajionyesha..ccm ishasambaratika..ohooo..magufuli watu wengeweza hata wakamwonea huruma ila mfumo kandamizi wa ccm toka enzi na enzi watu hawautaki..kila siku ni ahadi za uongo hata wewe hapo unakubali?..halafu wenyewe kila siku ni kula bata tu na dharau nyingi kwa wananchi wapiga kura eti wanawaita vibaka wavutabangi na wanywagongo..then haohao unawaomba wakupigie kura you must be very stupid indeed!
 
Duh hivi una moyo wa jiwe au chuma bado unajifarji na ushindi wa ccm pole ntakutumia panadol oktoba usijejinyonga
 
CCM imeshajifia,hata wakienda kumuomba OBAMA na MARAIS wote duniani hawatasaidia chochote
 
Juhudi kubwa zinazofanywa na UKAWA hasa baada ya ndugu Lowassa kujiunga nao... Zimesababisha CCM kuwa makini sana katika maeneo mengi. Mfano mzuri ni pamoja na kupitisha wagombea wanao kubalika maeneo mbali mbali, kama Iringa mjini ambako ndugu Mwakalebela alikatwa mwaka 2010 licha ya kushinda.

Pia CCM inatambua baadhi ya walio kihama chama wanazijua siri za chama... Mwaka huu tutegemee mipango na mikakati mipya.

Zaidi ya yote kuimalika kwa upinzani kuna maanisha CCM itajikita zaidi katika kutimiza ahadi zake kwa wananchi.

Na chini ya uongozi wa Magufuli ambaye hana makundi kama wengine , na pia ambaye hana kundi la Matajiri nyuma yake.

Magufuli atakuja kuwa rais bora Tanzania sana.

Watakuwa raia bora wa Tanzania baada yakushindwa Uraisi.
 
Kuimalika kwa upinzani ccm inajikita kutekeleza ahadi zake kama, Meli mpya ziwa Victoria, Tanganyika na Nyasa. Kigoma kuwa Dubai, viwanja vya ndege, ndege mpya na ya kisasa ya ATCL vyote hi yo vitakamilika ndani ya siku 60. Kweli we bado unaota!!!!
 
Sasa si ungesema mapema malengo yako ni kumkampenia Rais wenu huyo...Sema wananchi wasajua na hawadanganyiki kwa lolote maana kama hata mama wa mboga ni jembe mtaonana octoba
 
The Tomorrow People , kwanza umenikumbusha series flani hivi...na sijui kwann walii cancel!!

Kuongozwa na ccm kwa miaka zaidi ya 50 na hamna la maana ni kitu ambacho wa tz tumekichoka!!! CCM ijengeke ibomoke we dont care. Tunachohitaji ni kukiondoa pale juu na kuleta mabadiliko yenye tija katika nchi!!! We are tired.
 
Last edited by a moderator:
Juhudi kubwa zinazofanywa na UKAWA hasa baada ya ndugu Lowassa kujiunga nao... Zimesababisha CCM kuwa makini sana katika maeneo mengi. Mfano mzuri ni pamoja na kupitisha wagombea wanao kubalika maeneo mbali mbali, kama Iringa mjini ambako ndugu Mwakalebela alikatwa mwaka 2010 licha ya kushinda.

Pia CCM inatambua baadhi ya walio kihama chama wanazijua siri za chama... Mwaka huu tutegemee mipango na mikakati mipya.

Zaidi ya yote kuimalika kwa upinzani kuna maanisha CCM itajikita zaidi katika kutimiza ahadi zake kwa wananchi.

Na chini ya uongozi wa Magufuli ambaye hana makundi kama wengine , na pia ambaye hana kundi la Matajiri nyuma yake.

Magufuli atakuja kuwa rais bora Tanzania sana.



Hv Jf ndiyo inashuka hadhi hivi


Wewe hukupangiwa kidato cha tano?????
 
makomeo na mkwere wamechanganyikiwa.Lowassa ndiye raisi yetu.
 
Juhudi kubwa zinazofanywa na UKAWA hasa baada ya ndugu Lowassa kujiunga nao... Zimesababisha CCM kuwa makini sana katika maeneo mengi. Mfano mzuri ni pamoja na kupitisha wagombea wanao kubalika maeneo mbali mbali, kama Iringa mjini ambako ndugu Mwakalebela alikatwa mwaka 2010 licha ya kushinda.

Pia CCM inatambua baadhi ya walio kihama chama wanazijua siri za chama... Mwaka huu tutegemee mipango na mikakati mipya.

Zaidi ya yote kuimalika kwa upinzani kuna maanisha CCM itajikita zaidi katika kutimiza ahadi zake kwa wananchi.

Na chini ya uongozi wa Magufuli ambaye hana makundi kama wengine , na pia ambaye hana kundi la Matajiri nyuma yake.

Magufuli atakuja kuwa rais bora Tanzania sana.

1.90% Ya waliochukuliwa wametoa RUSHWA kubwa.
2.Magufuli ana matajiri wengi zaidi kuliko unavyomjua.Meli ya 1978 kununuliwa kwa bilioni8,uuzaji wa nyumba za serikali,uhongaji wa nyumba za serikali kwa vimada wake,kutumika kwa bilioni 258 kulipa Makandarasi Hewa,Kumhonga rais tractor kwa kisingizio cha eti ameagwa na wafanyakazi wa ujenzi.
3.Barabara zetu mbovu zote ni sababu ya kuwakumbatia wachina ambao ni watoaji wazuri wa hongo.

Na mwisho kama Chama kimekumbatia Uuzaji wa raslimali zetu,kama meno ya Tembo yalivyotoroshwa kwa kuwatumia askari wetu wa JWTZ,hivi bado CCM imara tu?
 
Uko sawa kabisa hao Baraza la Vichaa Chadema(Bavicha) wasikuumize kichwa wana assignment maalum waliopewa na maboss wao. Ccm inaimarika zaidi sasa baada ya virusi vya Ebola kuondoka,vilivyobaki ni visenene tu.
 
nichekiii kwa hiii no +255 673 612 886 team lowassa whatsap group kwa updates za ukawa
 
Sahihi kabisa ulichoandika ndicho ukawa wamejichanganya sana kumchukua Lowasa pia imesaidia kaondoka na watu wengi wachafu ndani ya ccm.
 
Back
Top Bottom