sharif wa kirando
Member
- Jun 7, 2015
- 47
- 5
amin usiamini kukatwa jina LA fisadi low as a ni hofu ya ccm dhidi ya UKAWA, sasa kilicho salia ni oktoba 25/2015.wananchi kujitokeza na kupiga kura kwa wingi. viva UKAWA
Kuna watu wanadharau upinzani, lakini kama si upinzani leo hii ccm wangemuweka Chenge awe mgombea Urais
Kuna watu wanadharau upinzani, lakini kama si upinzani leo hii ccm wangemuweka Chenge awe mgombea Urais