M Mr Chin JF-Expert Member Joined Apr 2, 2015 Posts 4,625 Reaction score 1,024 Sep 23, 2015 #1 Huyu ni Vladimir Putin akipiga push ups Huyu ni Barack Obama akipiga push ups Huyu ni John Magufuli akipiga push ups Huyu ni Edward Lowassa akisaidiwa kupanda ngazi za jukwaa Picha hizi ni ushaidi tosha kuwa Lowassa ni dhaifu na hana sifa za Urais ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu.
Huyu ni Vladimir Putin akipiga push ups Huyu ni Barack Obama akipiga push ups Huyu ni John Magufuli akipiga push ups Huyu ni Edward Lowassa akisaidiwa kupanda ngazi za jukwaa Picha hizi ni ushaidi tosha kuwa Lowassa ni dhaifu na hana sifa za Urais ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu.
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,383 Sep 23, 2015 #2 Usimchezee Mmasai wewe. Akipandisha mori hapo atakupa tano za haraka haraka na kutetemeka kwake hivyo hivyo. Ama kweli mens sana incopore sano!
Usimchezee Mmasai wewe. Akipandisha mori hapo atakupa tano za haraka haraka na kutetemeka kwake hivyo hivyo. Ama kweli mens sana incopore sano!
Goodmsoka Senior Member Joined Apr 1, 2015 Posts 161 Reaction score 53 Sep 23, 2015 #3 Weka na picha aliye dondoka jukwaan
Tangasisi Senior Member Joined Aug 21, 2013 Posts 116 Reaction score 64 Sep 23, 2015 #4 Hahaa nimekukubali kwa udondozi wa picha ila mabadiliko hayahitaji push ups
BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,511 Reaction score 11,911 Sep 23, 2015 #5 Mr Chin weka picha video ya JK akidondoka jangwani Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
The Don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 3,499 Reaction score 1,172 Sep 23, 2015 #6 hongera magufuli kwa kutambua na kutendea haki kipaji chako,hakika utakua bodyguard mzuri kwa raisi E.Lowassa
hongera magufuli kwa kutambua na kutendea haki kipaji chako,hakika utakua bodyguard mzuri kwa raisi E.Lowassa
M Mr Chin JF-Expert Member Joined Apr 2, 2015 Posts 4,625 Reaction score 1,024 Sep 28, 2015 Thread starter #7 BONGOLALA said: Mr Chin weka picha video ya JK akidondoka jangwani Click to expand... Ya nini? JK hagombei Irais Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
BONGOLALA said: Mr Chin weka picha video ya JK akidondoka jangwani Click to expand... Ya nini? JK hagombei Irais
lucky sabasaba JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 1,656 Reaction score 1,205 Sep 28, 2015 #8 Kwani Lowassa alishaanguka jukwaani kama mzee wa Tezi Du...tazama tofauti ya push up ya Obama na Mr Kidevu mzee wa raisi wa Kuwait ni Saddam Hussein matako juuuuu kama gay anatakiwa anyooke sio kuinua makalio....CCM OUT
Kwani Lowassa alishaanguka jukwaani kama mzee wa Tezi Du...tazama tofauti ya push up ya Obama na Mr Kidevu mzee wa raisi wa Kuwait ni Saddam Hussein matako juuuuu kama gay anatakiwa anyooke sio kuinua makalio....CCM OUT
concrete15 JF-Expert Member Joined Oct 16, 2012 Posts 882 Reaction score 323 Sep 28, 2015 #9 hiyo ya obama na putin ndo push up hiyo ya magufuli jina lake bado makalio yote juuu
T Tulime JF-Expert Member Joined Sep 18, 2015 Posts 248 Reaction score 104 Sep 28, 2015 #10 mzee kachoka sana ila kwa sababu mbowe ni mafia yupo taari amwone babu anakufa but si kumwona /kumshauri aachane na siasa
mzee kachoka sana ila kwa sababu mbowe ni mafia yupo taari amwone babu anakufa but si kumwona /kumshauri aachane na siasa
K Kwedu Kwazu JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 504 Reaction score 71 Oct 19, 2015 #11 Lowassa hawezi magufulika.
A Avelina Member Joined Sep 5, 2013 Posts 70 Reaction score 12 Oct 19, 2015 #12 watanzania tuna macho lakini hatuoni kwanini m2 uwe na uchu wa madaraka waachie vijana waongoze!