kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Kama mna uhakika kuwa wapo wanafunzi wa vyuo ambao ni wapenzi wa UKAWA ambao wamejiandikisha lakini hawatapiga kura kwa sababu ya kuwa likizo mbali na walikojiandikisha ni vema mkaratibu mapema zoezi la kuwatambua wale watakaokosa uwezo wa kurudi kwenye maeneo yao ya kupigia kura ili waje kupiga kura.
Itakuwa gharama lakini haina budi iwe sehemu ya gharama zenu za uchaguzi. Msipoteze kura yenu hata moja. Mkifanya hivyo njia hii ya kuwakosesha wanafunzi kupiga kura haitatumika tena kama mbinu chafu ya kushinda uchaguzi siku zijazo.
Itakuwa gharama lakini haina budi iwe sehemu ya gharama zenu za uchaguzi. Msipoteze kura yenu hata moja. Mkifanya hivyo njia hii ya kuwakosesha wanafunzi kupiga kura haitatumika tena kama mbinu chafu ya kushinda uchaguzi siku zijazo.