Ukawa rudini bungeni

ridzo

Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
31
Reaction score
1
Kama lilivyo jina ni umoja wa katiba kwa hy km ilivyokuwa nia yetu katiba ibadilishwe kwa hy uwepo wenu ni muhimu bungeni kuliko tunavyofikiria vinginevyo hata umoja huu utakuwa hauna maana km endapo katiba haitapatikana
Tujishushe turudi ila vinginevyo kamwe katiba haitabadilishwa hata chama kingine kikashika madaraka kumbukeni yafuatayo
1.Watanzania waliombea mchakato huu so maombi yao yatakua si kitu
2.Fedha imetumika kubwa sana mpaka kufikia hapa na hy fedha itakuwa sifuri yaani ni hasara
3.Watu walitenga mda kwa ajili ya tukio hili sasa na mda ni mali na ndio utajiri wenyewe so mnafanya tuwe maskini kwa sababu ya mda
4.Vipengele tulivyotamani vibadilike havitabadilika
Na mengine Mengi

Nakumbuka siku CHADEMA wakiwa kwenye mkutano wakiwa na mwenyekiti walisema watahakikisha katiba mpya inapatikana
So kwa style hii haitapatikana naomba wote turudi Bungeni
Tupambane mpaka dk ya mwisho then side Sisi tutaangalia je limekuaje kuliko kuishia njiani


KUBADILI MAAMUZI SI DHAMBI
 

Hivyo vinavyotaka kubadilishwa ambavho wananchi waliikabidhi ile tume iliyokusanya maoni mambo yote hayamo kama unawasikia au unawajua jamaa wanaoitwa CCM wameviondoa na kuweka vyao kwa ajili ya kulinda maslahi binafsi ,wameficha kila kitu sasa Ukawa na wengine warudi wakajadili maoni gani ? Kwa ufupi harudi mtu ,inayokula hasara ni serikai ya CCM kwa kutumia hela za walipa kodi vipi watazilipa hilo ni lao !
 
Warudi kudiscuss rasimu ya CCM au ya katiba?
Kama ni ya katiba haijadiliwi kwa sasa... inayojadiliwa kwa sasa ni ya CCM ambayo haina uhusiano na wewe mwananchi wa kawaida. Ukisikia siku imeanza kujadiliwa rasimu ya katiba waitakayo wananchi, itubip tuwaambie UKAWA wakaijadili...ok?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…