Kama lilivyo jina ni umoja wa katiba kwa hy km ilivyokuwa nia yetu katiba ibadilishwe kwa hy uwepo wenu ni muhimu bungeni kuliko tunavyofikiria vinginevyo hata umoja huu utakuwa hauna maana km endapo katiba haitapatikana
Tujishushe turudi ila vinginevyo kamwe katiba haitabadilishwa hata chama kingine kikashika madaraka kumbukeni yafuatayo
1.Watanzania waliombea mchakato huu so maombi yao yatakua si kitu
2.Fedha imetumika kubwa sana mpaka kufikia hapa na hy fedha itakuwa sifuri yaani ni hasara
3.Watu walitenga mda kwa ajili ya tukio hili sasa na mda ni mali na ndio utajiri wenyewe so mnafanya tuwe maskini kwa sababu ya mda
4.Vipengele tulivyotamani vibadilike havitabadilika
Na mengine Mengi
Nakumbuka siku CHADEMA wakiwa kwenye mkutano wakiwa na mwenyekiti walisema watahakikisha katiba mpya inapatikana
So kwa style hii haitapatikana naomba wote turudi Bungeni
Tupambane mpaka dk ya mwisho then side Sisi tutaangalia je limekuaje kuliko kuishia njiani
KUBADILI MAAMUZI SI DHAMBI
Tujishushe turudi ila vinginevyo kamwe katiba haitabadilishwa hata chama kingine kikashika madaraka kumbukeni yafuatayo
1.Watanzania waliombea mchakato huu so maombi yao yatakua si kitu
2.Fedha imetumika kubwa sana mpaka kufikia hapa na hy fedha itakuwa sifuri yaani ni hasara
3.Watu walitenga mda kwa ajili ya tukio hili sasa na mda ni mali na ndio utajiri wenyewe so mnafanya tuwe maskini kwa sababu ya mda
4.Vipengele tulivyotamani vibadilike havitabadilika
Na mengine Mengi
Nakumbuka siku CHADEMA wakiwa kwenye mkutano wakiwa na mwenyekiti walisema watahakikisha katiba mpya inapatikana
So kwa style hii haitapatikana naomba wote turudi Bungeni
Tupambane mpaka dk ya mwisho then side Sisi tutaangalia je limekuaje kuliko kuishia njiani
KUBADILI MAAMUZI SI DHAMBI