We unaamini kuwa EL ataweza kuhutubia zaidibya dakika 4?
Tusubiri na tuone, ukipita huo muda nakupiga faini laivu laivu.
Na lazima ulipe.
Hahaaa..mkuu naambiwa baada kujionea hali halisi sasa mnahaha kumtafuta mrithi wa EL..naambiwa ni Sumaye...hivi kweli!! Kutoka moyoni, matumaini bado yapo hapo?
We unaamini kuwa EL ataweza kuhutubia zaidibya dakika 4?
ni kwel hapo ndipo tutaona weredi wa jeshi la polisi#####
C tutafunga saa 2 usiku
Tutapigwa roba za mbao, mchana tu tuliporwa pochi ije SAA mbili usiku?
Jana magufuri alihubiri had I SAA 1:38 bila onyo lolote, Nawasihi ukawa nanyie mfanye hivyo! Hii nchi niyetu sote