UKAWA na vitumbua vya Fatuma

UKAWA na vitumbua vya Fatuma

hivi mzee tupatupa ulishawai kuipigia sisiemu kura.??
 
hivi mzee tupatupa ulishawai kuipigia sisiemu kura.??

huyo mzee yuko hapo Ufipa anasugua mabenchi hapo, Anasubiri kutumwa dukani kuwanunulia vocha mbowe na slaa, chenji ikibaki ndio anunulie bundle la kuja kumwaga pumba huku jf
 
huyo mzee yuko hapo Ufipa anasugua mabenchi hapo, Anasubiri kutumwa dukani kuwanunulia vocha mbowe na slaa, chenji ikibaki ndio anunulie bundle la kuja kumwaga pumba huku jf
si kweli Mzee Tupa Tupa yuko Lumumba Mimi namfahamu kwa sura Ni mzee kwenye hekima na busara lakini Kinana ameshindwa kumtumia kukiimarisha chama badala yake anamtumia Nape ambaye kila anakokwenda anachafua hali ya hewa na kuzidi kukisambaratisha chama.
 
Mzee Tupa huwa napenda sana mifano yako maana ni rahisi kwa yeyote kuelewa.
 
Kura ya maoni april 30! Ama kweli madereva wa nchi hii ni vipofu, alafu shangaa mpaka kondakta nae kipofu wa ukweli!!
 
Sio vitumbua tu. Fatuma ana bidhaa nyingi hadimu.
 
huyo mzee yuko hapo Ufipa anasugua mabenchi hapo, Anasubiri kutumwa dukani kuwanunulia vocha mbowe na slaa, chenji ikibaki ndio anunulie bundle la kuja kumwaga pumba huku jf

Kwani wewe ndio bibi Afya Mkuu.au ndio kuku na kanga wamechanganyika yani maana yangu au bolt zimelegea kichwani
 
Back
Top Bottom