UKAWA na vitumbua vya Fatuma

UKAWA na vitumbua vya Fatuma

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Katika Mtaa wa Kandambili,kulikuwa na wapishi na wauzaji mbalimbali wa vitafunwa. Yaliuzwa maandazi,chapati,kalimati,bagia na vitumbua. Muuzaji mmoja aliitwa Fatuma. Yeye alikuwa anauza vitumbua.

Kutokana na upinzani wa kibiashara pale Kandambili,vitumbua vya Fatuma vilipigwa zengwe. Yakapikwa na kusambazwa majungu. Kuwa haviandaliwi katika mazingira ya usafi;havina sukari;haviivi vizuri na kadhalika. Hakíka,havikuuzika na vilidoda. Si unajua tena majungu na propaganda vilivyo na nguvu!

Akaja Bibiafya. Akakagua wapishi wote. Ni Fatuma tu akaonekana kuwa amekidhi vígezo vya usafi. Waliobaki wote wakapigwa marufuku. Vikabaki vitumbua vya Fatuma tu. WanaKandambili wakamiminika kununua na kusifia. Vitumbua vya Fatuma vikawa tegemezi na mkombozi.

Ndivyo zilivyo hoja za UKAWA juu ya Tume Huru ya Uchaguzi,Kura ya Maoni,Sheria mbalimbali,Katiba Pendekezwa na kadhalika. Tunamsubiri Bibiafya. Hoja za UKAWA ni vitumbua vya Fatuma kabisa.

Happy Good Friday!

Mzee Tupatupa
 
Katika Mtaa wa Kandambili,kulikuwa na wapishi na wauzaji mbalimbali wa vitafunwa. Yaliuzwa maandazi,chapati,kalimati,bagia na vitumbua. Muuzaji mmoja aliitwa Fatuma. Yeye alikuwa anauza vitumbua.

Kutokana na upinzani wa kibiashara pale Kandambili,vitumbua vya Fatuma vilipigwa zengwe. Yakapikwa na kusambazwa majungu. Kuwa haviandaliwi katika mazingira ya usafi;havina sukari;haviivi vizuri na kadhalika. Hakíka,havikuuzika na vilidoda. Si unajua tena majungu na propaganda vilivyo na nguvu!

Akaja Bibiafya. Akakagua wapishi wote. Ni Fatuma tu akaonekana kuwa amekidhi vígezo vya usafi. Waliobaki wote wakapigwa marufuku. Vikabaki vitumbua vya Fatuma tu. WanaKandambili wakamiminika kununua na kusifia. Vitumbua vya Fatuma vikawa tegemezi na mkombozi.

Ndivyo zilivyo hoja za UKAWA juu ya Tume Huru ya Uchaguzi,Kura ya Maoni,Sheria mbalimbali,Katiba Pendekezwa na kadhalika. Tunamsubiri Bibiafya. Hoja za UKAWA ni vitumbua vya Fatuma kabisa.

Happy Good Friday!

Mzee Tupatupa

Very true
 
Ndo unatambua leo! mimi pamoja na mh Wasira tulishatambua mapemaa, waliolala waache walale.
 
Katika Mtaa wa Kandambili,kulikuwa na wapishi na wauzaji mbalimbali wa vitafunwa. Yaliuzwa maandazi,chapati,kalimati,bagia na vitumbua. Muuzaji mmoja aliitwa Fatuma. Yeye alikuwa anauza vitumbua.

Kutokana na upinzani wa kibiashara pale Kandambili,vitumbua vya Fatuma vilipigwa zengwe. Yakapikwa na kusambazwa majungu. Kuwa haviandaliwi katika mazingira ya usafi;havina sukari;haviivi vizuri na kadhalika. Hakíka,havikuuzika na vilidoda. Si unajua tena majungu na propaganda vilivyo na nguvu!

Akaja Bibiafya. Akakagua wapishi wote. Ni Fatuma tu akaonekana kuwa amekidhi vígezo vya usafi. Waliobaki wote wakapigwa marufuku. Vikabaki vitumbua vya Fatuma tu. WanaKandambili wakamiminika kununua na kusifia. Vitumbua vya Fatuma vikawa tegemezi na mkombozi.

Ndivyo zilivyo hoja za UKAWA juu ya Tume Huru ya Uchaguzi,Kura ya Maoni,Sheria mbalimbali,Katiba Pendekezwa na kadhalika. Tunamsubiri Bibiafya. Hoja za UKAWA ni vitumbua vya Fatuma kabisa.

Happy Good Friday!

Mzee Tupatupa

Shikamoo mzee wangu...................asante.....maneno na mfano wako hata ungeiweka ACT bado ningekupa likes
 
Haaahaaa!! Hao wanafiki wanapokusoma wanatamanj wakutoe nje ya ukumbi kwa hoja zako.


Vitumbua vya UKAWA.....hata mimi naona vinakuwa vitamu sasa. Hebu ona suala la Kura ya Maoni kuhusu Katiba Inayopendekezwa...ni utamu waliodharua tangu mwanzo.
 
Mkuu VUTA-NKUVUTE Umeeleweka vyema ngoja tusubiri Bibi Afya....(Wananchi) aamue vitumbua gani vinakidhi vigezo. Swali ni Je Fatuma ataendeleza ubora ule ule?
 
Last edited by a moderator:
Katika Mtaa wa Kandambili,kulikuwa na wapishi na wauzaji mbalimbali wa vitafunwa. Yaliuzwa maandazi,chapati,kalimati,bagia na vitumbua. Muuzaji mmoja aliitwa Fatuma. Yeye alikuwa anauza vitumbua.

Kutokana na upinzani wa kibiashara pale Kandambili,vitumbua vya Fatuma vilipigwa zengwe. Yakapikwa na kusambazwa majungu. Kuwa haviandaliwi katika mazingira ya usafi;havina sukari;haviivi vizuri na kadhalika. Hakíka,havikuuzika na vilidoda. Si unajua tena majungu na propaganda vilivyo na nguvu!

Akaja Bibiafya. Akakagua wapishi wote. Ni Fatuma tu akaonekana kuwa amekidhi vígezo vya usafi. Waliobaki wote wakapigwa marufuku. Vikabaki vitumbua vya Fatuma tu. WanaKandambili wakamiminika kununua na kusifia. Vitumbua vya Fatuma vikawa tegemezi na mkombozi.

Ndivyo zilivyo hoja za UKAWA juu ya Tume Huru ya Uchaguzi,Kura ya Maoni,Sheria mbalimbali,Katiba Pendekezwa na kadhalika. Tunamsubiri Bibiafya. Hoja za UKAWA ni vitumbua vya Fatuma kabisa.

Happy Good Friday!

Mzee Tupatupa

Kama ni mzee basi sio tatizo lako.kukosa kwako nywele usibikize na wenzako wakose nywele za kuweza kufikili.
 
Nkuvute Vuta ukawa ndio chombo kilichobaki cha matumaini kwa Watanzania
 
Ccm Wako Busy Na Ujenzi Wa Babeli Mpya Hatushangai Wanavyopoteana Kila Uchao
 
Back
Top Bottom