Nnangale
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 2,661
- 1,384
Mheshimiwa habari za kampeni naona kama mnaendelea vyema, suala la katiba mpya silisikii tena kwenye kampeni zenu naomba suala hili lipewe uzito kwani ndilo linalo weza kuleta ufumbuzi wa matatizo mengi yanayo wakabili watanzania kwa sasa,kampeni njema.
ukawa -ilitokana na muunganiko wa vyama ambao lengo kuu ilikua ni kuikataa katiba iliyopendekezwa na ccm na kuipigania ipite rasimu ya warioba, swali je leoo hiii katika mizunguko yooote za UKAWA umewah kumsikia lowassa akisema atapigania rasimu ya warioba? katika ukawa je umewah skia tena suala la katiba likiwa kipa umbele katik kulizungumzia na katika ilani ya ukawa na chademaaaaa??