Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 798
Hakuna kilichowatia hofu ukawa kususia kura ya maoni zaidi ya matokeo ya uchaguzi wa serikal za mitaa na ziara za kinana bara na zenj. Poleni sana ukawa.
hata wasipopiga tutasema ukawa walisusia kwa kukosa hoja za kuikosoa katibaUnataka ipite katiba mbovu baadae mseme na UKAWA walipiga kura, sio???
Hakuna kilichowatia hofu ukawa kususia kura ya maoni zaidi ya matokeo ya uchaguzi wa serikal za mitaa na ziara za kinana bara na zenj. Poleni sana ukawa.