mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,045
- 1,503
WanaJF, Salaam!
Kusema kweli mimi ninawiwa kuwaalika wote wenye mapenzi mema na nchi hii hususan wananchi wa kipato duni kuhakikisha kwamba tunatoa sehemu ya kipato chetu kueneza uzuri wa EDWARD LOWASSA katika vijiji tutokavyo au mahali ambapo ndugu zetu, rafiki zetu na jamaa zetu wanaishi.
Tuwaaminishe kabisa kabisa kuwa ilani ya ccm ni mbovu kwa kuwa haitoi nafasi kwa watoto wetu kupata elimu bure lakini ilani ya Edward LOwassa ni nzuri kwa kuwa kuanzia mwezi Januari, 2016 watoto wetu wote wataanza kusoma bure shuleni kuanzia chekechea hadi chuo kikuu. Aidha, watoto wa maskini wakihitimu elimu ya chuo kikuu watapata mikopo ili wajiajiri wenyewe kwenye sekta mbalimbali.
Lowassa pia ndiye anayeweza kupigana na kurudisha viwanda na nyumba zilizouzwa na CCM
Msisitizo: Tumia muda mwingi kushawishi ndugu zetu vijijini tuiondoe ccm
Kusema kweli mimi ninawiwa kuwaalika wote wenye mapenzi mema na nchi hii hususan wananchi wa kipato duni kuhakikisha kwamba tunatoa sehemu ya kipato chetu kueneza uzuri wa EDWARD LOWASSA katika vijiji tutokavyo au mahali ambapo ndugu zetu, rafiki zetu na jamaa zetu wanaishi.
Tuwaaminishe kabisa kabisa kuwa ilani ya ccm ni mbovu kwa kuwa haitoi nafasi kwa watoto wetu kupata elimu bure lakini ilani ya Edward LOwassa ni nzuri kwa kuwa kuanzia mwezi Januari, 2016 watoto wetu wote wataanza kusoma bure shuleni kuanzia chekechea hadi chuo kikuu. Aidha, watoto wa maskini wakihitimu elimu ya chuo kikuu watapata mikopo ili wajiajiri wenyewe kwenye sekta mbalimbali.
Lowassa pia ndiye anayeweza kupigana na kurudisha viwanda na nyumba zilizouzwa na CCM
Msisitizo: Tumia muda mwingi kushawishi ndugu zetu vijijini tuiondoe ccm