UKAWA mtanyooka tu....!




Mbona we mwenyewe mweupe tuu tena umekaa kiuchwara uchwara
 



Umekimbilia jamii forum maana Instagram watu wana waunfollow nini

Picha ya nini mwana chimwaga
 



Una kitambi uchwara hahahahaha

Chipsi yai
 
Bavicha mbona wamemwacha Magufuli kuhutubua Baraza la Iddi? Hiyo si ni siasa? Si walisema wanasaidia poludi kuzuia mikutano ya CCM? What happened.
 
Ukawa ni nani?maana tusije tukadhani ni dubwana fulani hivi!
 

Okey, Nikajua Unakuja na Hoja za msingi kumbe umeweka Vijembe tu!

Basi Sawa tukutane Dodoma Kama na ww Utakuja!

Sisi tutawasubili kwa Hamu Ili Mje Mtekeleze Dhamila yenu mtulize Roho zenu.
 
Katka watu walionifanya niipende CCM Ni PETER DAFI... jamaa jembe sna ww

Asante sana Mkuu!

Karibu Tuendelee kupambana na Taifa hili, ili kuondoa Vijana wenye Fikira Mgando kama Wengi wao ambao wameComment Lawama, Matusi, Kejeli nk..

Vijana wanasahau kuwa wanaqajibu wakuuwa Chanya ili Vizazi Vijavyo viige Mema toka kwao.

Daima Nitasonga Mbele Maneno Machafu kwangu ni Mbolea ya Mafanikio na Jitihada zangu.

Hapa Kazi Tu
 
Naona unawaiga kina Malisa sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…