UKAWA Msipuuze Kila kitu utafiti TWAWEZA

UKAWA Msipuuze Kila kitu utafiti TWAWEZA

sem2708

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,821
Reaction score
4,969
Ndugu wana JF, na hasa wapenzi wa mabadiliko kupitia UKAWA... Najua wengi mko kwenye state of frustration kutokana na matokeo ya TWAWEZA kama ilivyo kwangu,ila naona kuna mambo ya msingi sana kwenye utafiti huo ya kufanyia kazi,mfano:

Wananchi wengi wana aamini watakuta jina la UKAWA Kwenye karatasi ya kupigia kura ... so kwa sasa msisitizo uwe kwa kuwaelimisha wananchi kuwa kuna CHADEMA tu na hakuna CUF wala NCCR.

Pia ikumbukwe kuwa utafiti huo ulifanyika takriban mwezi mmoja uliopita so baada ya kampeni kuanza lazima kuna mabadiliko makubwa sana .
 
Wananchi wengi wanajua ukawa wamechukua kapi na fisadi na kumpa bendera ya ukawa...huu ni ulaghai na adhabu yake ni kuwanyima kura ukawa full stp
 
Ndugu wana JF, na hasa wapenzi wa mabadiliko kupitia UKAWA... Najua wengi mko kwenye state of frustration kutokana na matokeo ya TWAWEZA kama ilivyo kwangu,ila naona kuna mambo ya msingi sana kwenye utafiti huo ya kufanyia kazi,mfano:

Wananchi wengi wana aamini watakuta jina la UKAWA Kwenye karatasi ya kupigia kura ... so kwa sasa msisitizo uwe kwa kuwaelimisha wananchi kuwa kuna CHADEMA tu na hakuna CUF wala NCCR
Gamba hilo linapita mlipuuzeni.


swissme
 
Mkuu,

Haya ni maandalizi ya gori la mkono....ikiwemo hata kutangaza matokeo kinyume rejea zao zikiwa ni matokeo hayo ya kugushi and kusomba watu kwa wingi ktk mikutano ambao hawa waoigia kura....kwa kosa tu la kushindwa kuwarudisha walikowatoa....We mus be prepared for this......hawa jamaa si wema wa taifa hili....
 
Utafiti ule si tu kuwa wafaa kufungiwa kabatini ila unafaa kutupwa ukanyagwe na.wapita njia.
 
Usitishwe kama wewe ni kamanda, maana hata picha zitaonekana watu watatambua si lazima jina UKAWA.

KUHUSU TWAWEZA utafiti huu upo orginal umefichwa, ukionesha Lowasa anaongoza kwa mbali sana.

Ccm master plan wote wanajua lowasa ni moto
 
What do you mean by frustration.... labda kwa ccm......huo utafiti haumake sense hata kidogo n come to October tutatumia vichinjio vyetu kuwafanya hamna ccm.... nothing last forever
 
Ndugu wana JF, na hasa wapenzi wa mabadiliko kupitia UKAWA... Najua wengi mko kwenye state of frustration kutokana na matokeo ya TWAWEZA kama ilivyo kwangu,ila naona kuna mambo ya msingi sana kwenye utafiti huo ya kufanyia kazi,mfano:

Wananchi wengi wana aamini watakuta jina la UKAWA Kwenye karatasi ya kupigia kura ... so kwa sasa msisitizo uwe kwa kuwaelimisha wananchi kuwa kuna CHADEMA tu na hakuna CUF wala NCCR.

Pia ikumbukwe kuwa utafiti huo ulifanyika takriban mwezi mmoja uliopita so baada ya kampeni kuanza lazima kuna mabadiliko makubwa sana .

Kwanza nakushauri uache kuunganisha sentensi za kiswahili na neno ''so'' kwani ni tabia ya wajinga wanaotaka kuonyesha kuwa wamesoma. Kuhusu huu ''utafiti'' TWAWEZA chini ya kivuli cha January Makamba. Ni kweli kuwa kuna sehemu wameandika ukweli, na wamefanya hivi kwasababu maalum. Fomula ya kwanza katika utapeli au kudanganya inasema kwamba unapotaka kutapeli au udanganya, hakikisha windo lako linakuamini na linaweka imani kwako. Windo likishakukuamini, unaweza basi kushambulia. Hivyo basi wamechanganya ukweli kidogo na uongo mwingi ili kujenga hali ya kuaminika kwa watu. Ni kama ule mchezo wa kanyaboya, unaonyeshwa kwanza kitu halisi na unapoamini ndipo tapeli anapokuliza
 
Gamba hilo linapita mlipuuzeni.


swissme
huyo ukawa ana fahamu sio zombie au nyumbu. mizungu mazingaombwe ya ukawa yameshindwa. kaeni tu kalakabao sisi tunachagua magufuli oct 25. hapa kazi tu.
 
Kwanza nakushauri uache kuunganisha sentensi za kiswahili na neno ''so'' kwani ni tabia ya wajinga wanaotaka kuonyesha kuwa wamesoma. Kuhusu huu ''utafiti'' TWAWEZA chini ya kivuli cha January Makamba. Ni kweli kuwa kuna sehemu wameandika ukweli, na wamefanya hivi kwasababu maalum...
Na wewe unayejifanya mjuaji, jaribu kujifunza kuunganisha sentensi (kwenye bluu). Pia ni vyema ufahamu kuna tofauti kati ya kwasababu na kwa sababu.
 
Na wewe unayejifanya mjuaji, jaribu kujifunza kuunganisha sentensi (kwenye bluu). Pia ni vyema ufahamu kuna tofauti kati ya kwasababu na kwa sababu.

Du hata mbulula kama wewe nawe unakuwa mwalimu? Makubwa!
 
Frunstration wanayo ccm kwa kuwa wanaujua ukweli. ingia fb utajua kina nani wana frustration.
 
Ndugu wana JF, na hasa wapenzi wa mabadiliko kupitia UKAWA... Najua wengi mko kwenye state of frustration kutokana na matokeo ya TWAWEZA kama ilivyo kwangu,ila naona kuna mambo ya msingi sana kwenye utafiti huo ya kufanyia kazi,mfano:

Wananchi wengi wana aamini watakuta jina la UKAWA Kwenye karatasi ya kupigia kura ... so kwa sasa msisitizo uwe kwa kuwaelimisha wananchi kuwa kuna CHADEMA tu na hakuna CUF wala NCCR.

Pia ikumbukwe kuwa utafiti huo ulifanyika takriban mwezi mmoja uliopita so baada ya kampeni kuanza lazima kuna mabadiliko makubwa sana .

Nilikuwa naangalia taarifa ya habari Azam Two usiku huu, wamefanya utafiti kidogo kujua kama wananchi wanawafahamu wagombea, nimeshangaa baadhi ya vijana kutokumtambua Lowassa na kumtambua Magufuli tena kwa kuonyeshwa picha za wote.
 
Back
Top Bottom