UKAWA mbona mmezubaa?

Ukawa hawajui kuwa hawana muda na wanahitaji muda mwingi sana kujitangaza hasa huko mikoani...wanavyozidi kuchelewa inazidi kula kwao..Huo ndo mkakati wa CCM.
 
Reactions: DSN
Ukawa wanacheza na midundo ya CCM. Inastaajabisha sana
Maana yako ndiyo maana yangu na ndiyo maana ya Kipanya.why dont they dance their own music...ili sie wachagua song tuchague.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…