Ratiba ya Kampeni za Ukawa:
KIKOSI CHA CDM 2015:
*Chopa 10
*Mabasi 30
*Magari madogomadogo 500
*Bodaboda 6500
*Baskeli 3000
*ESTER BULAYA
*LEMBELI
*JOHN HECHE
Watafanya kampeni mwanza
musoma na tabora.
*TUNDU LISU
*MAKAIDI
watafanya kampeni singida na
Dodoma
*SUGU
*PROF J,
*ADAM ZELLA
*MSIGWA
Watafanya kampeni mbeya,
Iringa morogoro na ruvuma
*LEMA
*JOSHUA NASSARI
Watafanya kampeni mikoa ya
arusha Kilimanjaro na
manyara,Lindi ,mtwara na pwani.
*KAFULILA
*MBATIA
*RWAKATARE
*KUBENEA
*MARANDO
*MTATIRO
Watafanya kampeni D,salaam na
Zanzibar.
*SALUM MWALIMU
*MAALIM SEIF
*PLUS TEAM CUF
*JUMA DUNI
*MNYIKA MBOWE
Hawa watazunguka nchi nzima
bila kujali kanda.
*TEAM LOWASSA
Hawa watatembea nyumba kwa
nyumba
*M4C
Hawa watatembea Kata kwa
Kata.
*FRIENDS of LOWASSA Hawa
watatapakaa nchi nzima kuleta
ushawishi plus CDMA intelligencia
watatapakaa nchi nzima kubain
wizi, njama na mipango mibaya
ya ccm.
C.C
Matola