UKAWA kumekucha sasa njia nyeupeee

UKAWA kumekucha sasa njia nyeupeee

gambalakobe

Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
55
Reaction score
74
Hatimae mgombea wa urais kupitia umoja huo kujulikana jumanne tarehe 14/7/2015.Jana professor lipumba alihitisha press conference kuzungumza makubaliano hayo.
 
Lowasa alikuwa kidogo tishio kwa vile alikuwa na mtandao mkubwa na uungwaji mkubwa ndani ya CCM. Lakini Makufuli, njia kweli ni nyeupe! Hofu kidogo ni kushinda kwa goli la mkono, lakini kama refa atachezesha kwa kutumia sheria 17 za soka, na waje tuingie dimbani!
 
UKAWA mlijiandae na hoja ya UFISADI wa Lowasa, sasa CCM imeleta mtu mwingine, jipangene UPYA, Magufuli kiboko yenu
 
Mstu ni ule ila tofauti ni aina ya nyani.umemaliza kulia miaka 10,jiandae tena kulia na kulalamika miaka 10 ijayo na ccm
 
Lowasa na mafisadi wenzake, walifanikiwa kuwarubuni wajinga tu na ndiyo maana siku zote alikwepa kuwa karibu na elites ambao wangeweza kumhoji maswali ambayo lazima yangemfunua wazi.

Kama wangemptisha lowasa, ungeshangaa kampeni ingeisha asubuhi sana na tungesubiri Kutangazwa kwa raisi kutoka UKaWA.


Lowasa alikuwa kidogo tishio kwa vile alikuwa na mtandao mkubwa na uungwaji mkubwa ndani ya CCM. Lakini Makufuli, njia kweli ni nyeupe! Hofu kidogo ni kushinda kwa goli la mkono, lakini kama refa atachezesha kwa kutumia sheria 17 za soka, na waje tuingie dimbani!
 
UKAWA mlijiandae na hoja ya UFISADI wa Lowasa, sasa CCM imeleta mtu mwingine, jipangene UPYA, Magufuli kiboko yenu

Hata magufuli ni fisadi pia , sema hakuwa na mvuto kama ni single ya lowasa ilikuwa kama ya Dimond na magufuli ikawa ya Ben poll wote wanamuziki wazuri tu ila upepo. Hoja ya ufisadi kwa CCM Magufuli na Lowasa ni kulwa na dotto.
 
inatakiwa wakati ukawa wanamtangaza mgombea wao wawe live kweny tv ili wote tuone na tumsikilize mgombea kama ilivyo kua kwa ccm
 
UKAWA mlijiandae na hoja ya UFISADI wa Lowasa, sasa CCM imeleta mtu mwingine, jipangene UPYA, Magufuli kiboko yenu

Magufuli ni hao hao tu! muulize nyumba za serikali, nyumba aliyomuuzia mdogo wake akiwa mwanafunzi wakati waliokuwa wanauziwa ni wafanyakazi. and many otheres, ngoja waje wenye complete data. usijidanganye kuwa ni msafi kihivyo. Ila doa lake sio kubwa kihivyo
 
Back
Top Bottom