UKAWA kuitikisa Zanzibar leo

Ndugu zangu UKAWA kwa heshima mlioipata kwa wa Tz wenyeuelewa tunawaombeni sana timizeni malengo yenu kwani wachamungu tunaamini kuwa jambo hili lina mkono wa Mungu.mtapingwa sana kwani hii ndiyo historia ya dunia naomba mkumbuke kuwa hata bwana wetu Yesu kristo alikfa msalabani ili tupate wokovu nanyi leo hii mmebeba msalaba huu ili taifa hili likombolewe.lakini mtambue kuwa binadamu tumeumbwa kukanusha ukweli uwe uongo.ukisoma maandiko ya bibilia yanatuonesha kuwa hata baada ya bwana Yesu kufufuka wapo watu walioamua kukanusha huku wakisema amebiwa na wanafunzi wake hajafufuka mpaka pale alipo watokea wanafunzi wake hivyo mimi nawatia sheme msirudi nyuma tena ukombozi unakaribia.
 
Reactions: jme
Sijui kituo gani cha runinga kitakuwa hewani moja kwa moja kutoka kibanda maiti....
 
Mkuu Yericko,ben,mungi ivi haiwekani ITV wakombwa kurusha moja kwa moja kutoka kibandamaiti ili hoja zitakazotolewa ziwafikie wantanzania moja kwa moja ili itapoanza operation za maeneo mengine wananchi wawe na uwelewa ili wahadhina wasije wakaanza kujenga vijembe vyao?
 
!
!
ningeomba pia watu watakaohudhuria huko mtuletee kinachojiri kwa maana ya picha na maelezo. Anzisheni uzi wa kinachojiri huko. Lakini pia ongezeni umakini kwani sisiem wanaweza pandikiza fujo ili mkutano uvurugike na mpigwe na ffu.
Ningependa kujua pia kama Mh Jussa na Mh Lisu watahutubia.
Ombi maalumu kwa mtakaohudhuria ni kuchukua maoni ya Mchungaji Mtikila.
Saa ya ukombozi ni sasa.
Tanganyika's redemption
 
Reactions: jme
Je pana kituo gani cha TV kitakachoonesha mkutano huo moja kwa moja?
 
Sasa UKAWA leo tunataka mpigilie misumali kweli kweli sio manalalamika tu..tupeni plan B na nini tufanye
 
Wakumbuke kuzipeleka hadi kwenye mashina yao ya vijjjini, zisiishie tu kwenye mifuko ya Mbowe na Lipumb* plus huyo mpenda kesi Mtikila!
 
tunashukuru sana kwa hiyo link, natumaini mda ukifika itakuwa hewani bila shida
 
Safi sana mkuu! tunatega masikio kuhabarishwa maneno ya kizalendo.
 

Wel said mkuu, Tena watuambie gharama za kurusha live huo mkutano kupitia Television ya wananchi ITV ni sh. ngapi na watuwekee A/c No. pamoja na Mpesa, Tigo pesa, Airtel money ili tuanze kuchangia.
 
Reactions: jme
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…