UKAWA jiandaeni kisaikolojia 2015

Kura zihesabiwe na wapiga kura wote kwa sauti baada ya kuzichambua na kila mwakilishi wa mgombea kushika zake.....teh teh
 
CCM kufanya hivyo ni kulazimisha ya Kenya yatokee hapa tena kwa nguvu kubwa zaidi. watu wameshachoka kuonewa.
 
Hata zikiwa tume huru kumi, wananchi hawajaona sera za UPINZANI, zaidi ya kukiponda chama tawala, hayo siyo mahitaji ya wananchi.
Kwa hiyo mahitaji ya wananchi ni escrow na sera zisizotekelezeka sio? Nikufahamishe. Simply wananchi wameichoka ccm na hawana haja tena ya kusikiliza lolote toka ccm. CCM ishakufa na kuoza, mtuondolee harufu!
 
Kwa hiyo mahitaji ya wananchi ni escrow na sera zisizotekelezeka sio? Nikufahamishe. Simply wananchi wameichoka ccm na hawana haja tena ya kusikiliza lolote toka ccm. CCM ishakufa na kuoza, mtuondolee harufu!

Takwimu hiyo mkuu umeitoa wapi kwamba wananchi wameichoka CCM? mbona mitaani tunakutana na watu wengi waliovaa kofia, fulana na kanga za CCM kwa hiari yao? Mbona mgombea wa CCM anapotangazwa mshindi wanaoshangilia kwa vifijo wapo? au hawa ni mataahira? Takwimu zako hizo nadhani sio sahihi, kilicho sahihi kwako zaidi ni kusema "mimi nimeichoka CCM" badala ya kusema "wananchi wameichoka CCM". Jiandikishe na uwende ukapige kura kwa usahihi siku ya uchaguzi ili kuonyesha demokrasia yako (wewe).
 
Hivi bado UKAWA wanaamini watachukua nchi 2015 hata baada ya uchaguzi wa s/mitaa? Litakuwa ajabu la 8 la Dunia
 
Mmeanza kujitekenya na kucheka wenyewe tafuteni pakutokea mtashindwa vibaya sana maana mko pamoja na shetani.
 
Hivi bado UKAWA wanaamini watachukua nchi 2015 hata baada ya uchaguzi wa s/mitaa? Litakuwa ajabu la 8 la Dunia
Ngoja wajifanye wamechanganyikiwa lakini moto watauona tu hatuchagui waliopagawa na maisha.
 

Tutalinda kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…