Malilambwiga
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 485
- 296
Kabla ya vyama vya siasa havijaanza mchakato wa kuwapata wagombea wa Urais,Udiwani na Ubunge kulikuwa na wimbo unaosema " Polisi msitupige mabomu Chadema ni Serikali ijayo". Nionavyo mimi huu ndiyo wakati wake mbona haupigwi ktk kampeni