UKAWA/ CHADEMA wamepanick

UKAWA/ CHADEMA wamepanick

Mugisher

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
411
Reaction score
360
Wapendwa najiuliza mgombea wao si alikuwa na mafuriko ya watu (ingawa wengi wao ni wanywa viroba) na wao wanadai anakubalika sana- sasa mbona hawa UKAWA/CHADEMA wamepanick hivo? Jamaa hawajiamini kabisa. Hizi ndio dalili za kupanick kwao.

1. Wako busy kujaza 'opinion polls' za mitandaoni. Halafu wanakuja na hesabu zao za jinsi mgombea wao anavyokubalika. Mara wanasema ana 87% na Magufuli 13%. Mnapanick na hivi vi polls uchwara vya nini?
2. Wako busy mitandaoni kutukana na kutengeneza kashfa za Magufuli.
3. Wana haha huku na kule kuitisha NEC na jeshi la polisi.
4. Wako busy kujiaminisha wameshinda mikoa yote tanzania na statistics feki.
5. Wako busy kufurahia kuondoka kwa wanchama CCM ambao hawazid 2,000. Wakati CCM ina wanachama 8,000,000.
6. Wako busy kukuchangia kwa hoja mfu na matusi juu kwenye mitandao.
7. Wako busy kumtukana mtu yoyote ambaye hayuko kambi moja nao mfano Diamond, Polepole, Ruge
8. Wako busy kutengeneza ukweli uwe uongo, kama kudanganya juu ya mabasi ya DART.

Sasa wandungu hizi ni dalili za nini? Ni za KUPANICK. Hawa ndugu wamepanick na hawana mbinu. CCM wameonyesha ukomavu na jinsi ya kuwa na mbinu za kisiasa. Acheni KUPANICK. TAARATIBUUUUUU MTANYOOKA TU.
 
attachment.php
 
Mb.w.e - lazima arudishe change; kama uraisi tukiukosa- 7 bil zinarudishwa.
 
mtoa mada kajiunga leo jamii forum
join date : 11th july 2015
posts : 157
rep power : 337
likes received127
likes given31

aliyejiunga leo 21/8/2015 chadema ana haki sawa na aliyejiunga chadema 1995''
 
Unamimba ya UKAWA wewe cz sijaona la maana apo bt we ndo umepanic or walio kutuma ndo wamepaiki sio kosa lako
 
aliyejiunga leo 21/8/2015 chadema ana haki sawa na aliyejiunga chadema 1995''

NYUMBU MLEVI SEMA? Hata kama nimejiunga leo post si umeisoma? Acha ulevi wa kinyumbu wewe.
 
Wapendwa najiuliza mgombea wao si alikuwa na mafuriko ya watu (ingawa wengi wao ni wanywa viroba) na wao wanadai anakubalika sana- sasa mbona hawa UKAWA/CHADEMA wamepanick hivo? Jamaa hawajiamini kabisa. Hizi ndio dalili za kupanick kwao.

1. Wako busy kujaza 'opinion polls' za mitandaoni. Halafu wanakuja na hesabu zao za jinsi mgombea wao anavyokubalika. Mara wanasema ana 87% na Magufuli 13%. Mnapanick na hivi vi polls uchwara vya nini?
2. Wako busy mitandaoni kutukana na kutengeneza kashfa za Magufuli.
3. Wana haha huku na kule kuitisha NEC na jeshi la polisi.
4. Wako busy kujiaminisha wameshinda mikoa yote tanzania na statistics feki.
5. Wako busy kufurahia kuondoka kwa wanchama CCM ambao hawazid 2,000. Wakati CCM ina wanachama 8,000,000.
6. Wako busy kukuchangia kwa hoja mfu na matusi juu kwenye mitandao.
7. Wako busy kumtukana mtu yoyote ambaye hayuko kambi moja nao mfano Diamond, Polepole, Ruge
8. Wako busy kutengeneza ukweli uwe uongo, kama kudanganya juu ya mabasi ya DART.

Sasa wandungu hizi ni dalili za nini? Ni za KUPANICK. Hawa ndugu wamepanick na hawana mbinu. CCM wameonyesha ukomavu na jinsi ya kuwa na mbinu za kisiasa. Acheni KUPANICK. TAARATIBUUUUUU MTANYOOKA TU.
wewe umesahau kujiosha baada ya .......hujioni.Hata p. a.k a anakuzidi kwa usafi
 
Wapendwa najiuliza mgombea wao si alikuwa na mafuriko ya watu (ingawa wengi wao ni wanywa viroba) na wao wanadai anakubalika sana- sasa mbona hawa UKAWA/CHADEMA wamepanick hivo? Jamaa hawajiamini kabisa. Hizi ndio dalili za kupanick kwao.

1. Wako busy kujaza 'opinion polls' za mitandaoni. Halafu wanakuja na hesabu zao za jinsi mgombea wao anavyokubalika. Mara wanasema ana 87% na Magufuli 13%. Mnapanick na hivi vi polls uchwara vya nini?
2. Wako busy mitandaoni kutukana na kutengeneza kashfa za Magufuli.
3. Wana haha huku na kule kuitisha NEC na jeshi la polisi.
4. Wako busy kujiaminisha wameshinda mikoa yote tanzania na statistics feki.
5. Wako busy kufurahia kuondoka kwa wanchama CCM ambao hawazid 2,000. Wakati CCM ina wanachama 8,000,000.
6. Wako busy kukuchangia kwa hoja mfu na matusi juu kwenye mitandao.
7. Wako busy kumtukana mtu yoyote ambaye hayuko kambi moja nao mfano Diamond, Polepole, Ruge
8. Wako busy kutengeneza ukweli uwe uongo, kama kudanganya juu ya mabasi ya DART.

Sasa wandungu hizi ni dalili za nini? Ni za KUPANICK. Hawa ndugu wamepanick na hawana mbinu. CCM wameonyesha ukomavu na jinsi ya kuwa na mbinu za kisiasa. Acheni KUPANICK. TAARATIBUUUUUU MTANYOOKA TU.

Hata wewe mbona upo busy kuandika thread zisizo na mpango,maana,mbele wala nyuma
 
Wapendwa najiuliza mgombea wao si alikuwa na mafuriko ya watu (ingawa wengi wao ni wanywa viroba) na wao wanadai anakubalika sana- sasa mbona hawa UKAWA/CHADEMA wamepanick hivo? Jamaa hawajiamini kabisa. Hizi ndio dalili za kupanick kwao.

1. Wako busy kujaza 'opinion polls' za mitandaoni. Halafu wanakuja na hesabu zao za jinsi mgombea wao anavyokubalika. Mara wanasema ana 87% na Magufuli 13%. Mnapanick na hivi vi polls uchwara vya nini?
2. Wako busy mitandaoni kutukana na kutengeneza kashfa za Magufuli.
3. Wana haha huku na kule kuitisha NEC na jeshi la polisi.
4. Wako busy kujiaminisha wameshinda mikoa yote tanzania na statistics feki.
5. Wako busy kufurahia kuondoka kwa wanchama CCM ambao hawazid 2,000. Wakati CCM ina wanachama 8,000,000.
6. Wako busy kukuchangia kwa hoja mfu na matusi juu kwenye mitandao.
7. Wako busy kumtukana mtu yoyote ambaye hayuko kambi moja nao mfano Diamond, Polepole, Ruge
8. Wako busy kutengeneza ukweli uwe uongo, kama kudanganya juu ya mabasi ya DART.

Sasa wandungu hizi ni dalili za nini? Ni za KUPANICK. Hawa ndugu wamepanick na hawana mbinu. CCM wameonyesha ukomavu na jinsi ya kuwa na mbinu za kisiasa. Acheni KUPANICK. TAARATIBUUUUUU MTANYOOKA TU.

Na wewe mbona umepanic unaifuatilia sana UKAWA kulikoni kwa nini usijikite kumnadi Magufuli.
 
mi nadhi waliosema mafuriko ya UKAWA ni picha za kuchakachua kwenye kompyuta ndo wamepanic kabisaaaa!
 
Wapendwa najiuliza mgombea wao si alikuwa na mafuriko ya watu (ingawa wengi wao ni wanywa viroba) na wao wanadai anakubalika sana- sasa mbona hawa UKAWA/CHADEMA wamepanick hivo? Jamaa hawajiamini kabisa. Hizi ndio dalili za kupanick kwao.

1. Wako busy kujaza 'opinion polls' za mitandaoni. Halafu wanakuja na hesabu zao za jinsi mgombea wao anavyokubalika. Mara wanasema ana 87% na Magufuli 13%. Mnapanick na hivi vi polls uchwara vya nini?
2. Wako busy mitandaoni kutukana na kutengeneza kashfa za Magufuli.
3. Wana haha huku na kule kuitisha NEC na jeshi la polisi.
4. Wako busy kujiaminisha wameshinda mikoa yote tanzania na statistics feki.
5. Wako busy kufurahia kuondoka kwa wanchama CCM ambao hawazid 2,000. Wakati CCM ina wanachama 8,000,000.
6. Wako busy kukuchangia kwa hoja mfu na matusi juu kwenye mitandao.
7. Wako busy kumtukana mtu yoyote ambaye hayuko kambi moja nao mfano Diamond, Polepole, Ruge
8. Wako busy kutengeneza ukweli uwe uongo, kama kudanganya juu ya mabasi ya DART.

Sasa wandungu hizi ni dalili za nini? Ni za KUPANICK. Hawa ndugu wamepanick na hawana mbinu. CCM wameonyesha ukomavu na jinsi ya kuwa na mbinu za kisiasa. Acheni KUPANICK. TAARATIBUUUUUU MTANYOOKA TU.

Hebu acha utoto.

Hii nayo ni post?
 
Back
Top Bottom