mbanga junior
New Member
- Dec 7, 2014
- 3
- 2
Bado kabisa makamanda huku vijijni, wagombea wengi wamewekewa pingamizi na nafasi zao hazikupata replacement,Katibu na wenyeviti wa kimkoa inabidi wafanye kazi za ziada kuelekea uchaguzi mkuu 2015.
Bado kabisa makamanda huku vijijni, wagombea wengi wamewekewa pingamizi na nafasi zao hazikupata replacement,Katibu na wenyeviti wa kimkoa inabidi wafanye kazi za ziada kuelekea uchaguzi mkuu 2015.