UKAWA bado ipo au kimebaki kivuli tu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,869
171,695
Nikimsikiliza kwa makini mwenezi wa ccm ni kama vile hoja ya katiba ya wananchi sasa imebebwa na CCM.Najiuliza wale waliojulikana kama ukawa bado wapo au imebaki historia?Na kama wapo je mwenyekiti wao ni nani?!!
 
Back
Top Bottom